Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Wiki iloisha Urusi walituumiza. Lakini sasa Wiki hii tumewafaidi sana. Viva Ukraine

URUSI: Ghala la kuhifadhia silaha za kijeshi limelipuliwa huko Khabarovsk Krai (karibu na Japani) LEGION[emoji109]
View attachment 2221912
Hawa LEGION wako nchi nzima maana kama ni karibu na Japan itakuwa ni karibu na Siberia kusini Mashariki mwa Russia.

Target yao ni miundombinu ya muhimu ya Russia wakimaliza ghala za mafuta na silaha wanakuja kwenye madaraja na gesi.

Hii vita mpaka iishe inaweza kumuweka Russia pabaya kwa uchumi kwasababu mpaka sasa ameshapoteza sana huko Ukraine,Sasa hivi wameingia nchini mwake.

Uzuri wa Ukraine ana faida kubwa moja nchi yake itajengwa na EU na Marekani hata kama ni kwa msaada lakini hayatakuwa masharti magumu tofauti na Russia ambao watajenga nchi yao wenyewe na pengine kutakiwa kuwalipa Waukraine.Itamuumiza kwa upande mwingine hata kama akishinda

Shirika lao la ujasusi FSB halijang'amua kweli kinachoendelea au wameamua kuacha liwalo na liwe wamechoshwa na hii vita kwa kuona haina umuhimu kwao.

Hivi mkuu umeshapata dondoo zozote zinazohusiana na ujumbe wa leo wa Biden uliotumwa kwa Putin kupitia balozi wake(US).
 
Hawa LEGION wako nchi nzima maana kama ni karibu na Japan itakuwa ni karibu na Siberia kusini Mashariki mwa Russia.

Target yao ni miundombinu ya muhimu ya Russia wakimaliza ghala za mafuta na silaha wanakuja kwenye madaraja na gesi.

Hii vita mpaka iishe inaweza kumuweka Russia pabaya kwa uchumi kwasababu mpaka sasa ameshapoteza sana huko Ukraine,Sasa hivi wameingia nchini mwake.

Uzuri wa Ukraine ana faida kubwa moja nchi yake itajengwa na EU na Marekani hata kama ni kwa msaada lakini hayatakuwa masharti magumu tofauti na Russia ambao watajenga nchi yao wenyewe na pengine kutakiwa kuwalipa Waukraine.Itamuumiza kwa upande mwingine hata kama akishinda

Shirika lao la ujasusi FSB halijang'amua kweli kinachoendelea au wameamua kuacha liwalo na liwe wamechoshwa na hii vita kwa kuona haina umuhimu kwao.

Hivi mkuu umeshapata dondoo zozote zinazohusiana na ujumbe wa leo wa Biden uliotumwa kwa Putin kupitia balozi wake(US).
Biden kasemaje? FSB baadhi Putin kawaweka kwenye zuio kutoka nje. Anadai wanamzunguka. Wenxao wamenuna. Wanadaiwa kusaidia kikundi cha LEGION
 
Work done and Well done fully. Kwa Hii vita Mrusi atajifunza mengi sana. [emoji1787] [emoji1787] [emoji2089]
Sana halafu upiganaji wa Ukraine huwa ni wa kuvizia na kushtukiza na ukizingatia ni nchi yao wanaijua kuliko Warusi hata wakijificha ni ngumu kuwagundua,intelijensia yao iko vizuri na huwa hawaloose morale mapema kama Warusi.

Hawa Warusi watakuwa wameshachoshwa na vita morale iko chini wakati hiki ndicho kigezo kikubwa cha mwanajeshi kupigana vita mbali na silaha.
 
Leo Azov wamewafurumusha Urusi. Wamesogea nyumba kutoka sehrmu walokuwa wamekamata mara ya kwanza.

Leo Azov wamtumia drone kutafuta Warusi wapojificha wakawatawanya. Angalia Video. Urusi walikuwa wanajiliwaza eti, ndani ya saa 24 njaa itawauma watatoka handakani. Urusi kwa propaganda hawajambo
 
Biden kasemaje? FSB baadhi Putin kawaweka kwenye zuio kutoka nje. Anadai wanamzunguka. Wenxao wamenuna. Wanadaiwa kusaidia kikundi cha LEGION
Ninaona ni ujumbe wa siri kwasababu hawajauxpose nje zaidi ya kusema wamemtumia ujumbe. Labda tusubirie mpaka kesho tunaweza kujua nini kimeongelewa.

Lakini juzi alisema wasiwe wanasema kwamba wanawasaidia Waukraine wafanye kimya kimya mipango yao, sasa huu wa leo sijaujua itakuwa (confidential).

Hapo FSB lazima wakasirike na watamfanyia hujuma nyingi sana.Nilikuwa ninajiuliza wanawezaje kufanya operation ndani ya Urusi wasijue. Hili linaweza kuwa anguko la Putin kama alivyotabiri mjumbe mmojwapo wa Umoja wa Ulaya.
 
Ninaona ni ujumbe wa siri kwasababu hawajauxpose nje zaidi ya kusema wamemtumia ujumbe. Labda tusubirie mpaka kesho tunaweza kujua nini kimeongelewa.

Lakini juzi alisema wasiwe wanasema kwamba wanawasaidia Waukraine wafanye kimya kimya mipango yao, sasa huu wa leo sijaujua itakuwa (confidential).

Hapo FSB lazima wakasirike na watamfanyia hujuma nyingi sana.Nilikuwa ninajiuliza wanawezaje kufanya operation ndani ya Urusi wasijue. Hili linaweza kuwa anguko la Putin kama alivyotabiri mjumbe mmojwapo wa Umoja wa Ulaya.
Mkuu hii ni Vita, kuna Propaganda kila Upande. Jitahidi kuwa unafuatilia kujua chanzo cha habari kipoje. Wenzetu wazungu kitu kikiwa Siri huwezi jua. Hadi umejua mtu katumwa, sio siri. Kwanza mwbalozi walifukuzwa.

Wiki iloisha Marekani walikuwa hataki tuandike Siraha zinaletwa.

Tulitakiwa tuseme Siraha zinaletwa zikiwa zishafika. Zikashatawanywa sehemu mbalimbali ndo tuseme zimefikia Sehemu fulani.

Ndo maana Urusi watu wanadai wanamiss shabaha Wanalenga sehemu zenye siraha zikiwa zishaondolewa.

Hawapendi kusema kitu kabla hakijafanyika.
 
Hawa LEGION wako nchi nzima maana kama ni karibu na Japan itakuwa ni karibu na Siberia kusini Mashariki mwa Russia.

Target yao ni miundombinu ya muhimu ya Russia wakimaliza ghala za mafuta na silaha wanakuja kwenye madaraja na gesi.

Hii vita mpaka iishe inaweza kumuweka Russia pabaya kwa uchumi kwasababu mpaka sasa ameshapoteza sana huko Ukraine,Sasa hivi wameingia nchini mwake.

Uzuri wa Ukraine ana faida kubwa moja nchi yake itajengwa na EU na Marekani hata kama ni kwa msaada lakini hayatakuwa masharti magumu tofauti na Russia ambao watajenga nchi yao wenyewe na pengine kutakiwa kuwalipa Waukraine.Itamuumiza kwa upande mwingine hata kama akishinda

Shirika lao la ujasusi FSB halijang'amua kweli kinachoendelea au wameamua kuacha liwalo na liwe wamechoshwa na hii vita kwa kuona haina umuhimu kwao.

Hivi mkuu umeshapata dondoo zozote zinazohusiana na ujumbe wa leo wa Biden uliotumwa kwa Putin kupitia balozi wake(US).
Biden kasemaje mkuu
 
Biden kasemaje mkuu
Sijajua maana ametuma ujumbe kwa Putin kupitia kwa balozi wa Marekani nchini Russia ,hata mimi niliuliza nikidhani mkuu figganigga anaupdates zozote naye anasema hajazipata. Ngoja tuone mpaka kesho labda utakuwa umejulikana.
 
Mkuu hii ni Vita, kuna Propaganda kila Upande. Jitahidi kuwa unafuatilia kujua chanzo cha habari kipoje. Wenzetu wazungu kitu kikiwa Siri huwezi jua. Hadi umejua mtu katumwa, sio siri. Kwanza mwbalozi walifukuzwa.

Wiki iloisha Marekani walikuwa hataki tuandike Siraha zinaletwa.

Tulitakiwa tuseme Siraha zinaletwa zikiwa zishafika. Zikashatawanywa sehemu mbalimbali ndo tuseme zimefikia Sehemu fulani.

Ndo maana Urusi watu wanadai wanamiss shabaha Wanalenga sehemu zenye siraha zikiwa zishaondolewa.

Hawapendi kusema kitu kabla hakijafanyika.
Yeah! Well noted mkuu. Ngoja nitafutilia kujua ulikuwa unahusu nini.
 
Urusi wezi sana. Hadi kwenye Helcopter za Jeshi wanabeba vitu vya wizi. Hii ni mashine ya kufulia
20220513_051813.jpg
 
Urusi tumewashambulia Siverskyi Walipotaka kuvuka mto Donets

Tumeweza kuhesabu na kukuta tumelipua vifaru 28 vya Urusi aina ya BMP/BMD, Vifaru 6 vya Urusi aina ya BTR/similar armour, kifaru 1 aina ya T-72B, gari 1 moja la mizigo na , MT-LB moja
View attachment 2221988
Vifaru 35 kuharibiwa kwa shambulizi moja ni hasara sana,Hongera kwa Ukraine,vipi hapo kwenye hilo tukio wanajeshi wangapi wa Urusi wamepoteza maisha?
 
Mariupol: Makomandoo wa Azov wameweza kulipua Kituo cha Jeshi la Urusi waliokuwa wamezunguka Mahali Azov Walipo. Warusi wamerudishwa nyuma. Hii ndo sehemu ya kutolea Amri (Russian command post)
 
Vifaru 35 kuharibiwa kwa shambulizi moja ni hasara sana,Hongera kwa Ukraine,vipi hapo kwenye hilo tukio wanajeshi wangapi wa Urusi wamepoteza maisha?
Vita ina gharama kubwa sana mkuu. Yaani kama kukiwa na uwezekano wa kuepuka vita ni better zaidi kuliko kuharibu uchumi wa nchi.Vita yetu na Uganda iliturudisha nyuma sana kiuchumi.
 
Vifaru 35 kuharibiwa kwa shambulizi moja ni hasara sana,Hongera kwa Ukraine,vipi hapo kwenye hilo tukio wanajeshi wangapi wa Urusi wamepoteza maisha?
Mkuu hii Battalion ya Urusi ilikuwa na Wanajeshi na Wafanyakazi 1,100. Wapo waliokufa na kutekwa. Wachache sana waliogelea kurudi walipotoka kwani hata walipofika ng'ambo Sniper walifanya kazi yao. Ukiacha Vifaru 35, kuna Malory ya Mizigo 50, yameteketea mengine. Pia kuna Magari na Vifaru havijateketea bali vimetelekezwa, vitatumiwa na Ukraine

Nusu ya hii Battalion wamekufa. Wengine wametekwa. Ukraine imeshinikiza wabadilishane kama PoW(prisoners of War) Wanataka Urusi iruhusu Azov waliojeruhiwa kule Azovstal nao waachie mateka. Kwa ratio ya 1:1. Wakiachia Azov mmoja nao wanaachia Mrusi mmoja.

Wengine wameliwa na mamba.
 
Mkuu hii Battalion ya Urusi ilikuwa na Wanajeshi na Wafanyakazi 1,100. Wapo waliokufa na kutekwa. Wachache sana waliogelea kurudi walipotoka kwani hata walipofika ng'ambo Sniper walifanya kazi yao. Ukiacha Vifaru 35, kuna Malory ya Mizigo 50, yameteketea mengine. Pia kuna Magari na Vifaru havijateketea bali vimetelekezwa, vitatumiwa na Ukraine

Nusu ya hii Battalion wamekufa. Wengine wametekwa. Ukraine imeshinikiza wabadilishane kama PoW(prisoners of War) Wanataka Urusi iruhusu Azov waliojeruhiwa kule Azovstal nao waachie mateka. Kwa ratio ya 1:1. Wakiachia Azov mmoja nao wanaachia Mrusi mmoja.

Wengine wameliwa na mamba.
Du!Ukraine wamefanya kazi kubwa hapo,Russia wamepoteza mno
 
Back
Top Bottom