Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hawa jamaa kwa jinsi wanavyojua madhara ya kuzungukwa wakizidiwa wanaweza kukimbia wakaacha kila kitu wakiogopa kile kitu walifanyiwa na Hitler Leningrad, hakuna kutoka wala kuingia, hakuna chakula wala maji mpaka ikatokea Cannibalism.

Mtu yeyote anayeshadadia vita ajifunze madhara yake. Vita iepukwe kwa nguvu zote,kama kuna kuongea busara zitumike kwa sehemu kubwa. Hata nchi ikiwa na nguvu kiasi ganu kuna madhara itayapata tu.
 
Ni kweli Mwanzo huwa mzuri lakini adui yako akishakusoma udhaifu wako unaumia.

Chukulia Nazi walivyowapiga Europe akitaka kuimarisha utawala wa himaya ya the third Reich Czechoslovakia iwe ndipo makao makuu.

Japan US pale Pearl Harbour.

Ug na Tz Kagera war.

Russia Afghanistan.

US na Vietname.

Lakini ukiangalia upande uliokuja kuathirika zaidi na kupigwa ni wale wote walioanza kuwapiga wenzao. Vita ikageuka aibu ikawa kwao. HAKI HUSHINDA UOVU.
 
Makamanda wake hawatamruhusu atumie Nyuklia kirahisi. Halafu akishindwa hii vita kabla hajaondoka madarakani wananchi wake hawatamuamini mama shujaa wao kwa jinsi alivyowaaminisha atashinda.

Aibu yake itakuwa kubwa atakosa ujasiri wa kuongoza watu wake tena.
 
Hawa waliolala hapa ni kikosi cha anga cha Urusi Wakishambulia Vifaru vya Urusi kwa FGM-148 Javelin huko Donbas. Kumbe wapo Vizuri hata Ardhini.
Your browser is not able to display this video.
 
Hawa wanaotumia hii 60-mm M224 mortar ni Wapiganaji wa kujitolea kwa ajili ya Ukraine kutoka Georgia
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Hii bunduki anayoitumia Sniper wa Ukraine ni hatari. Unatakiwa uwe umekula
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…