Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Wakuu, Warusi leo wameanza kuukimbia Mji wa Izyum. Eti wanaenda kujipanga upya Katika Wilaya ya Severodonetsk iliyopo Mkoani Luhansk. Umbali wa KM 130 kutoka Izyum. Naamini hadi Jumatatu Ukraine itakuwa imeukomboa Mji Mungu akipenda. Umeona wameogopa kupitia Njia ya Karibu ya km 128 Wilayani Borova coz kuna Mtego wa Ukraine, wameamua kuzunguka Svyatohirsk km 131. Ndo wanaondoka hivyo, hata wajipange vipi, Izyum hawaipati tena.
1652605361952.png
 
Ukraine imefanya kazi nzuri Izyum na kufanikiwa kukamata Wafanyakazi wa Jeshi la Urusi 390(Hawa ni Wapishi, Wahandisi, Mafundi, Madaktari) Vifaru vya kubebea Wanajeshi 11, Vifaru aina ya BTR-5 Vifaru aina ya BMP-11 Vifaru aina ya BMD-1 Vifaru aina ya MTLB-2, Artillery systems-4 Vifaru aina ya MLRS-1, Mortar-10 Malori ya Mizigo 8 Ndege zisizo na rubani (UAV)-5

Picha nitaweka kadili nitakavyo pata kutokea Izyum
 
Kikosi cha Ukraine cha 95th Air Assault Brigade kimeonesha Vifaru vya Urusi Vilivyo haribiwa aina ya BTR-82, BMP-2, T-72B, na T-72B3.
 
Kumbe wakati Warusi wanavuka mto Donets, baada ya kuona Vifaru vyao vibashambuliwa na nusu vinawaka moto. Wakakimbilia Msituni kujificha. Mkuu wa Kikosi cha 17th Tank Brigade kilichoweka mtego wa kuwanasa Warusi, akatoa amri Msitu wote upigwe moto pande zote.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Warusi wakatoka wenyewe Msituni wakachukuliwa kama PoW kitu ambacho Azov hawawezi fanya. Azov hawateki bali wanaua hata ujisalimishe
View attachment 2224878
Hivi hawaoni kama wanajiaibisha kwa hii vita? Yaani wamepigwa kama watoto wadogo.
 
Magari ya Jeshi la Urusi aina ya Tigr yakiwa hoi
 
Sasa urusi si ni taifa la hatari kijeshi na intelijensia si wampige mmarekani tu!?[emoji16][emoji16]
Shida ni kwamba hawakujua kama Mmarekani anawajua kuliko wanavyomjua,kabla vita haijaanza kuna kamanda wao(Russia) alisema Marekani kwenye tech ya kijeshi na Idara ya Afya wako juu sana hawawezi kujilinganisha nao.

Putin alitakiwa aelewe ujumbe wa Kamanda wake. Wanajeshi wake hawana morale sana compared to Ukranians.Wakitoka hapo Donetsk lazima wasogee mpaka Crimea na kuikomboa.
 
Rais wa Uturuki anataka kutuma Nyambizi Mariupol kuwaokoa Azov Majeruhi. Je, atafanikiwa?
View attachment 2224920
Mpaka kusema hivyo inawezekana ameshapima ukubwa wa jambo analotaka kulifanya. Turkey kwenye intelijensia wapo vizuri itakuwa tayari wameshausoma mchezo.

Hata alivyokataa kupiga kura Finland na Sweden kujiunga na NATO alishapima na anajua matokeo yake.Hapa Mrussi anazungukwa na kuchezewa mchezo.
 
Plan ilikuwa hadi jumatatu tuwe ndani ya Izyum. Ndo njia kuu, Tukiiteka sehemu nyingine Mterelezo tu sababu Warusi hawatapata sehemu ya kupitisha Vifaru, Vyakula na Risasi. Labda watumie ndege. Yaani Izyum ni kama Wami kwa watu wanaotoka Kilimanjaro kuja Dar. Hapo kwenye Point ndipo Izyum ilipo
View attachment 2225310
Nimekuelewa mkuu. Wakitumia ndege zitadunguliwa maana Ukrain inamiliki anga lake. Kazi imeanza.
 
Wakuu, Warusi leo wameanza kuukimbia Mji wa Izyum. Eti wanaenda kujipanga upya Katika Wilaya ya Severodonetsk iliyopo Mkoani Luhansk. Umbali wa KM 130 kutoka Izyum. Naamini hadi Jumatatu Ukraine itakuwa imeukomboa Mji Mungu akipenda. Umeona wameogopa kupitia Njia ya Karibu ya km 128 Wilayani Borova coz kuna Mtego wa Ukraine, wameamua kuzunguka Svyatohirsk km 131. Ndo wanaondoka hivyo, hata wajipange vipi, Izyum hawaipati tena.
View attachment 2225366
Kurudishwa nyuma kwa sehemu uliyokuwa umeishirikia kwa muda na umejijenga kijeshi ni udhaifu na mwanzo wa kuanza kumuogopa adui yako.Wanajipanga huku wenzao wanakuja pasipo kurudi nyuma.
 
Ukraine imefanya kazi nzuri Izyum na kufanikiwa kukamata Wafanyakazi wa Jeshi la Urusi 390(Hawa ni Wapishi, Wahandisi, Mafundi, Madaktari) Vifaru vya kubebea Wanajeshi 11, Vifaru aina ya BTR-5 Vifaru aina ya BMP-11 Vifaru aina ya BMD-1 Vifaru aina ya MTLB-2, Artillery systems-4 Vifaru aina ya MLRS-1, Mortar-10 Malori ya Mizigo 8 Ndege zisizo na rubani (UAV)-5

Picha nitaweka kadili nitakavyo pata kutokea Izyum
Silaha zake ndizo zitatumika kumpiga.
 
Kuna hiki kifaru cha Urusi kinaitwa BAT-2. Ni vifaru adimu, tangu vita ianze hiki ni cha pili kukamatwa. Ni vifaru vya gharama sana. Hata Urusi ukute wameleta visivyozidi 10. Kimekamatwa. wenyewe wanakiita BAT-2 heavy engineering vehicle
1652609661446.png
1652609675875.png
1652609876581.png
1652609963836.png
1652609951604.png
1652609939840.png
 
Sasa hawa wanakimbia Vifaa vya Jeshi walikuwa wanamuachia nani? Urusi bana.. Wote hawa Wamadakwa na vifaa vyao.

Hapo kuna kifaru aina ya MT-LBVM, Risasi za Kila aina, NSV HMG - hii salaha ina majina ya Walioitengeneza, Kirefu chake ni (Nikitin, Sokolov, and Volkov heavy machine gun), na Vilipuzi vya aina mbalimbali vya kulipua vifaru kama (RPG-30, RPG-26 na MRO-A )
 
Back
Top Bottom