figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #1,921
Wakuu, Warusi leo wameanza kuukimbia Mji wa Izyum. Eti wanaenda kujipanga upya Katika Wilaya ya Severodonetsk iliyopo Mkoani Luhansk. Umbali wa KM 130 kutoka Izyum. Naamini hadi Jumatatu Ukraine itakuwa imeukomboa Mji Mungu akipenda. Umeona wameogopa kupitia Njia ya Karibu ya km 128 Wilayani Borova coz kuna Mtego wa Ukraine, wameamua kuzunguka Svyatohirsk km 131. Ndo wanaondoka hivyo, hata wajipange vipi, Izyum hawaipati tena.