7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,729
- 7,966
Hawa jamaa kwa jinsi wanavyojua madhara ya kuzungukwa wakizidiwa wanaweza kukimbia wakaacha kila kitu wakiogopa kile kitu walifanyiwa na Hitler Leningrad, hakuna kutoka wala kuingia, hakuna chakula wala maji mpaka ikatokea Cannibalism.Mji unaofuata ni Donetsk. Ila bado Mariupol ipo mbali. Hadi Jeshi la Ukraine wafike sio leo. Nadhani Jumatatu tunaweza ikomboa Donetsk. Izyum ndo ilikuwa inachelewesha. Tukiipata Mariupol nasi tunawazingira Wanajeshi wa Urusi waliopo Melitopol. Subiri muone huu Mchezo.
View attachment 2224248View attachment 2224249
Mtu yeyote anayeshadadia vita ajifunze madhara yake. Vita iepukwe kwa nguvu zote,kama kuna kuongea busara zitumike kwa sehemu kubwa. Hata nchi ikiwa na nguvu kiasi ganu kuna madhara itayapata tu.