figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #1,901
AiseeHuwezi sema hili sio pengo. Kifaru kimoja kama hiki aina ya T-72B3 bei yake inafika $250,000/
View attachment 2221804View attachment 2221805View attachment 2221806View attachment 2221807
Duh...Urusi wezi sana. Hadi kwenye Helcopter za Jeshi wanabeba vitu vya wizi. Hii ni mashine ya kufulia
View attachment 2222311
Sasa urusi si ni taifa la hatari kijeshi na intelijensia si wampige mmarekani tu!?[emoji16][emoji16]
Kwa kutumia black sea atawezaRais wa Uturuki anataka kutuma Nyambizi Mariupol kuwaokoa Azov Majeruhi. Je, atafanikiwa?
View attachment 2224920
Vita tamu hii da yaani ni utumie akili kujua adui yupo distance ya umbali gani mrushie boom tuUkisikia mapambano ya Frontline au Mstari wa mbele ndo haya. Bonyeza [ ] kuzoom
View attachment 2224823
Maaaavi, uanze tu kumrushi ngumi Headboy wa Dunia kirahisi rahisi[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Sasa urusi si ni taifa la hatari kijeshi na intelijensia si wampige mmarekani tu!?[emoji16][emoji16]
HiVi mkuu hii silaha inalenga vipi target? Wanaset kwanza target au automatic?Ukraine wameipenda hii silaha
View attachment 2224690
mbona kwangu picha azifungukiWarusi walijitahidi kurusha risasi wakati wa kuvuka mto Donets lakini wapi. Mtego uliwanasa. Hata wanao washambulia hawakuwa hapo. Wanapiga risasi ovyo
View attachment 2224908
Hii ni digital fire control system. Inafanya navigation yenyewe hapo hapo, Wewe unaamua ipige wapi. Na inapiga shabaha umbali hata wa km 21. Inatumia GPS. Uzuri ni kwamba Marekani wamereta mpya kabisa ili kuona ufanisi wake sehemu zenye baridi. Kanada wametoa M777 Howitzers nne huku Marekani ikitoa M777 Howitzers 90. Zimeonesha Ufanisi KharkivHi
HiVi mkuu hii silaha inalenga vipi target? Wanaset kwanza target au automatic?
nimesoma mahali izyum mambo sio mambo warusi mbioni kuukacha huo mjiMji unaofuata ni Donetsk. Ila bado Mariupol ipo mbali. Hadi Jeshi la Ukraine wafike sio leo. Nadhani Jumatatu tunaweza ikomboa Donetsk. Izyum ndo ilikuwa inachelewesha. Tukiipata Mariupol nasi tunawazingira Wanajeshi wa Urusi waliopo Melitopol. Subiri muone huu Mchezo.
View attachment 2224248View attachment 2224249
Pole. Nikusaidieje?
Plan ilikuwa hadi jumatatu tuwe ndani ya Izyum. Ndo njia kuu, Tukiiteka sehemu nyingine Mterelezo tu sababu Warusi hawatapata sehemu ya kupitisha Vifaru, Vyakula na Risasi. Labda watumie ndege. Yaani Izyum ni kama Wami kwa watu wanaotoka Kilimanjaro kuja Dar. Hapo kwenye Point ndipo Izyum iliponimesoma mahali izyum mambo sio mambo warusi mbioni kuukacha huo mji
Kutoka hapo uliposoma ambapo kuna mapigano hadi Mariupol kwa Akina Azov, kwa gari ni Masaa matano tu km 346, So njia ikifunguka, Wiki moja tutakuwa tunapigana Viunga vya Mariupol. Sema Uturuki wanajiandaa kwenda kuwasaidia Azov kutokea baharini.nimesoma mahali izyum mambo sio mambo warusi mbioni kuukacha huo mji