figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #1,901
Mruko wa chini chini; Helkopta za kushambukia za Ukraine aina ya Mi-24P zikiwarushia Warusi Makombira aina ya S-8 Mkoani Donbas jana
Kikosi cha anga cha Ukraine kimefanya nashambulizi ya anga mara kwa mara hivi karibuni. Achana na wanaosema eti mfumo wa anga uneharibiwa. Kumbuka sisi tunajilinda, hivyo nguvu tumewekeza kumpiga na kuharibu ndege za Adui
Kikosi cha anga cha Ukraine kimefanya nashambulizi ya anga mara kwa mara hivi karibuni. Achana na wanaosema eti mfumo wa anga uneharibiwa. Kumbuka sisi tunajilinda, hivyo nguvu tumewekeza kumpiga na kuharibu ndege za Adui