Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mapumziko kidogo
20220321_180220.jpg
 
Wanajeshi wa Ukriane wakiwa na bunduki aina ya AK-74s wakati wa mapambano. Hawa wapo Frontline. Walikuwa kwenye kijiji cha moshchun
 
Wanajeshi wa Ukraine wakiwamiminia Multiple anti-tank missiles wanajeshi wa Urusi waliojaribu kuingia Mariupol. 16.3.2022. Wote walidakwa
 
Pole sana. Jitahidi kusoma title na post ya kwanza. Watanzania kwamba ukutaka kuwaficha weka ujumbe kwenye Maandishi. Ndo hii sasa.
Mkuu ulichoonesha ni picha za vifaru, ndege vya Urusi? Swali je vifaru, ndege na makari ya ukraine hayaharibiwi?
 
Angalia live askari wa Ukraine alivyopamba na Warusi Mkoani Kyiv. Sema kwa mbahati mbaya alipigwa na risasi kwenye kidole. Alikuwa anawaita njoo kama wanaume, lakini Warusi waliogopa kumsogelea.
 
Mkuu ulichoonesha ni picha za vifaru, ndege vya Urusi? Swali je vifaru, ndege na makari ya ukraine hayaharibiwi?
Mimi nimesema toka mwanzo 1#post. Naonesha na kuongelea mafanikio ya Ukraine. Kuna uzi wanaongelea mafanikio ya Urusi, kaangalie.

Nia ni kutaka kutoa udanganyifu wa watu kwamba Askari wa Urusi hawauawi wala vifaa vyao vya kivita kutekwa. Sina mpango wa kuiongelea Urusi. Nipo Dedicated kuiongelea Ukraine tu. Sababu naamini Urusi wanaweza kuipiga Ukraine lakini hawawezi kuishinda. Putin alisema ndani ya siku 3 tutaikamata Kyiv, nawapa muda wa masaa 12 Ukraine wajisalimishe na Askari wa Ukraine warudi nyumbani vinginevyo watakiona cha moto. Na Nchi itakayoingilia nitaiteketeza. Je, siku tatu hazijaisha? Hakuna nchi imeingilia. Putin anawatia hasara ya kuongeza Yatima na Wajane Urusi. Hii vita kataka kuonesha umwamba lakini haina sababu. Tunaendelea kuwachinja Urusi bila Huruma. Welcome to Ukraine
 
Hii Missiles ilidondoshwa maeneo ya Vinnytsia Oblast na kikosi cha anga cha Ukraine
20220321_183038.jpg
20220321_183040.jpg
20220321_183043.jpg
20220321_183045.jpg
 
Aisee we jamaa kweli ni hayawani.
Siwezi kuwa na mahaba kiasi hiki kwa kweli kwa hao watu weupe be it US au Russia na their allies. Hii vita ukweli usemwe chokochoko zote zimeletwa na wamarekani. Hayo ya kuchakazana wacha wauwane. Huwa tunasema waafrika ni wanafiki blah blah kibao...lakini ukweli wazungu ni wanafiki wa kipekee na washenzi. Nashangaa kwanini hoja za Urusi kwenye hili sakata zinafungiwa macho.

Inawezekana Urusi alii underestimate Ukraine, lakini vita lazima iwe ngumu kwa Urusi, hao si waarabu ni wazungu kwa wazungu na zaidi anasaidiwa na NATO kwa mgongo wa nyuma. Si sawa na vita ya Marekani dhidi ya Iraq/Afghanistan. Na civilian wakishakua upande wa serikali vita lazima iwe ngumu.
Sasa kama Choko zimeletwa na Marekan Kwa nni putin asi pigane na Marekan?
 
Drone ya Ukraine ikiwaonesha Wanajeshi wa Urusi wakiwa wamejificha kwenye handaki. Je unajua kilichowapata? Sihitaji kuonesha picha mbaya hata hivyo
 
Wanajeshi wa Urusi walivyo pigwa Ambushi. Utaipenda
 
Hii inaitwa Tochka-U Tactical Ballistic Missile launch ya Ukraine
 
Hii convoy ya Urusi, iliharibiwa Mashariki mwa Ukraine. Urusi walipoteza sana hadi wakarudi nyuma
 
Warusi wakiwa wanawindwa. Hawa ni Askari wa kujitolea waliokuja kuisaidia Ukraine
 
Back
Top Bottom