Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

20220330_204802.jpg
 
UAV Orlan-10( unmanned aerial vehicle) ya Urusi iliangushwa Mkoani Mykolaiv
View attachment 2158241
Na hizi ni ndge zilizodunguliwa. Hayo Mabomu ya 3 FAB-500, yalikuwa ndani ya ndege, ilipoanguka yakasambaa kila sehemu hapa ilikuwa Mkoa wa Chernihiv. Ndege ni Su-34.

The Sukhoi Su-34 is a Soviet-origin Russian
View attachment 2158246View attachment 2158247View attachment 2158249View attachment 2158250View attachment 2158251
Muuaji Putin alifikiri Ukraine ni kama Crimea!!!
 
Mkoani Sumy leo tarehe 30 Machi 2022, Urusi wamepigwa Ambushi nyingi sana..
20220330_205854.jpg
20220330_205848.jpg
20220330_205845.jpg
20220330_205843.jpg
20220330_205757.jpg
20220330_205753.jpg
20220330_205750.jpg
 
Tarehe 31 Machi: Angalia Warusi wanavyokamatwa kama Kuku wa kisasa. Aliyejifanya jeuri na hataki kutii, akamiminiwa risasi
 
30 Machi 2022, Urusi wameikimbia Kherkyiv baada ya kupokea kipigo kikali. Hapa kuna Vifaru aina ya T-72B3, DT-30, 7x MT-LBVM, 3x 9M336 missiles for the 9K333 Verba MANPADS nk.
20220331_093626.jpg
20220331_093623.jpg
20220331_093620.jpg
20220331_093612.jpg
20220331_093610.jpg
20220331_093602.jpg
20220331_093600.jpg
20220331_093558.jpg
20220331_093917.jpg
20220331_093914.jpg
20220331_093912.jpg
20220331_093910.jpg
 
Wanajeshi wa kujitolea wa Chechen wakisaisia kuilinda Ukraine hapa ni karibu na mji wa Kyiv.. Wanajeshi wa Urusi wamekimbia mbio wakaacha Viatu
 
Back
Top Bottom