figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #1,661
Kiongozi wa Azov, Komando Lt-Col Denys Prokopenko. Amesema hawatajisalimisha pamoja na kwamba wanaishi mazingira magumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hawa waliozungukwa ni wanajeshi wenye mafunzo ya hali ya Juu, ndo maana Ukraine hawataki kuwapoteza. Changamoto iliyopo ni Jinsi ya kuwafikishia Silaha, sababu njia zinazoelekea Mariupol zimefungwa, madaraja yamebomolewa. Mikoa ya Jirani imeshikiliwa na Urusi. So hadi upambane Wilaya za Jirani Ushinde ndo Uingie Mariupol, ndicho kitu kinafanyika. Ila naamini Wamarekani wakiwapa hela nono wanaweza kwenda kusaidia. Siku kadhaa nyumba Urusi ilidai kwamba wameukomboa mji wa Mariupol wakaanza kuondoka, baada ya siku mbili waliowaacha wakazidiwa nguvu. Sasa wanatumia Ndege na Makombora ya Masafa marefu. Azov hawana Vifaa vya Kuzuia, ndicho kinawatesa. So wanataka wawanyong'onyeshe ndo Askari wa Miguu waingie kiwandani. Najipa Moyo kwamba Azov ni Wanajeshi wana mbinu za kivita. Tujipe muda tuone itakuaje. Azov bado wanawasilina na Waliopo nje ya Mariupol, Mana yake Mawasiliano yapo. Wangekuwa wamekatiwa mawasiliano ndo ingekuwa tatizo kubwa.Asante Mkuu,hapa sasa nimeelewa kwa taarifa za media nikadhani wanajeshi pekee waliobaki ni hao tu wa kiwandani kumbe mapambano yanaendelea na wengine wapo nje
Yaani hawa waliozungukwa ni wanajeshi wenye mafunzo ya hali ya Juu, ndo maana Ukraine hawataki kuwapoteza. Changamoto iliyopo ni Jinsi ya kuwafikishia Silaha, sababu njia zinazoelekea Mariupol zimefungwa, madaraja yamebomolewa. Mikoa ya Jirani imeshikiliwa na Urusi. So hadi upambane Wilaya za Jirani Ushinde ndo Uingie Mariupol, ndicho kitu kinafanyika. Ila naamini Wamarekani wakiwapa hela nono wanaweza kwenda kusaidia. Siku kadhaa nyumba Urusi ilidai kwamba wameukomboa mji wa Mariupol wakaanza kuondoka, baada ya siku mbili waliowaacha wakazidiwa nguvu. Sasa wanatumia Ndege na Makombora ya Masafa marefu. Azov hawana Vifaa vya Kuzuia, ndicho kinawatesa. So wanataka wawanyong'onyeshe ndo Askari wa Miguu waingie kiwandani. Najipa Moyo kwamba Azov ni Wanajeshi wana mbinu za kivita. Tujipe muda tuone itakuaje. Azov bado wanawasilina na Waliopo nje ya Mariupol, Mana yake Mawasiliano yapo. Wangekuwa wamekatiwa mawasiliano ndo ingekuwa tatizo kubwa.
Mkuu nilisikia jana kwamba wamepoteza mawasiliano na waliopo ndani ya Azovstal.Yaani hawa waliozungukwa ni wanajeshi wenye mafunzo ya hali ya Juu, ndo maana Ukraine hawataki kuwapoteza. Changamoto iliyopo ni Jinsi ya kuwafikishia Silaha, sababu njia zinazoelekea Mariupol zimefungwa, madaraja yamebomolewa. Mikoa ya Jirani imeshikiliwa na Urusi. So hadi upambane Wilaya za Jirani Ushinde ndo Uingie Mariupol, ndicho kitu kinafanyika. Ila naamini Wamarekani wakiwapa hela nono wanaweza kwenda kusaidia. Siku kadhaa nyumba Urusi ilidai kwamba wameukomboa mji wa Mariupol wakaanza kuondoka, baada ya siku mbili waliowaacha wakazidiwa nguvu. Sasa wanatumia Ndege na Makombora ya Masafa marefu. Azov hawana Vifaa vya Kuzuia, ndicho kinawatesa. So wanataka wawanyong'onyeshe ndo Askari wa Miguu waingie kiwandani. Najipa Moyo kwamba Azov ni Wanajeshi wana mbinu za kivita. Tujipe muda tuone itakuaje. Azov bado wanawasilina na Waliopo nje ya Mariupol, Mana yake Mawasiliano yapo. Wangekuwa wamekatiwa mawasiliano ndo ingekuwa tatizo kubwa.
Ikifika Jumatatu hawajakamatwa, ujue ndo hawakamatwi tena.Mkuu nilisikia jana kwamba wamepoteza mawasiliano na waliopo ndani ya Azovstal.
Daah hawa jamaa wakitoka salama itakuwa bonge la ushindi yani.
Naomba chanzo chako cha habari. Hii taarifa sijaipata. Sababu leo nimeona Video ya Azov ya Usiku wa Kuamkia leo wakisema mapambano yanaendelea. Hii video haina masaa 10 tangu waitume hewani. Wamepata wapi internet ya kutuma?Mkuu nilisikia jana kwamba wamepoteza mawasiliano na waliopo ndani ya Azovstal.
Daah hawa jamaa wakitoka salama itakuwa bonge la ushindi yani.
tuelezee vizuri hii kitu dingiMeli nyingine ya Urusi imepigwa Kombora sasa inazama. kumbe haya makombora aina ya Neptune wanayo yatengenza Ukraine ni balaa. Hayazuiliki. Nawashauri Urusi waachane na Odessa, wamejipanga
View attachment 2213775
Wanatia huruma hatar [emoji1787]Mkonai Kharkiv , snipers 11 wanwkamatwa wa Urusi.
Waliokamatwa ni wa kikosi cha 115th Regiment of the DNR. Hawa wangekamatwa na Azov ingekuwa ndo bye bye
View attachment 2214231
Hivyo ndo napendaKikosi cha LEGION kimefika Moscow. Hapa ni ghala la Prosveshchenie jijini Moscow
View attachment 2212986View attachment 2212987
Vipi wameanza kuukomboa mji....halafu huyo dereva mbona anayumbisha mashine....sijui niende kuwapa company