Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Walipelekewa moto Warusi
20220523_163642.png
 
Wanajeshi wa Georgia tangu wiki iloisha wametusaidia sana. Wana mbinu nyingi za Kivita. Leo wameharibu vifaa vya Urusi Vingi sana
 
Wakuu, hawa ni Chechen wanaongozwa na Komando Mansur. Hiki kikosi kijeshi kinatumia jina la "Sheikh Mansur" Battalion wanapigana kwa Upande wa Ukraine. Leo wameonesha Mavuno yao ya kuanzia Alhamis iloisha Mkoani Donbas. Sorry, siku nyingi nilikuwa sijawapost. Tukumbushane.
IMG_20220523_202418_117.jpg
IMG_20220523_202415_718.jpg
IMG_20220523_202413_909.jpg
IMG_20220523_202411_046.jpg
IMG_20220523_202408_282.jpg
 
Yaani Urusi Mtandaoni wanajimwambafai sana, lakini tukiwadaka wanakuwa wapole kama piriton🤣🤣🤣
 
203-mm self-propelled guns "Peony" send parcels to Russia. Full of Love🤣🤣
 
Ile Meli ya gharama ya Urusi iliyozamishwa na Ukraine, imeleta mabadiliko. Ukraine sasa wanatumia Stamp ya Meli ilozamishwa na Ukriane. Leo rais kaipitisha rasmi. So mizigo ya Ukraine itakuja na Meli ikiwa inazama.
IMG_20220523_222304_337.jpg
IMG_20220523_222302_176.jpg
IMG_20220523_222300_015.jpg
 
Yaani nimecheka sana jinsi Warusi walivyokuwa wanakimbia baada ya kifaru chao kulipuliwa
 
Navigation. Miaka 10 Vita haitakuwa determined na wingi wa jeshi bali technology. Urusi tumewatesa na mambo ya GPS. URUSI wanatuzidi wingi wa Vifaa vya jeshi. Sisi tunawazidi wataalam wq kuharibu vifaa vyao
20220524_000639.jpg
 
Back
Top Bottom