Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Leo tarehe 20 Julai 2022 ni Siku ya 147 tangu Urusi avamie Ukraine kimabavu bila kosa lolote.

Ripoti imetoka kwamba wakati wa Mapambano kati ya Urusi na Ukriane maeneo ya Lysychansk na Sieverodonetsk Mkoani Luhansk Ukraine ilifanikiwa kuwaangamiza na kuwakata Pumzi Wanajeshi wa Urusi 11,000. Kati yao, Wanajeshi elfu 2-3 ni wale wanaojiita "LPR", na elfu 8-9 ni Kutoka Jeshi la Urusi. Hapa ni miji Miwili tu. Wasingevamia wasingekufa. Ubabe umewaponza
20220720_123429.jpg
20220720_142311.jpg
 
Urusi wamekutana na risasi za Kikatili
 
Back
Top Bottom