OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Hawa ni wameswagwa tu. Hawataki na hawana utayari wa kwenda vitani. Manake ni kama wameshakufa hata kabla hawajafika frontline. Pale frontline ni kwamba wanaenda kuhitimisha tu. Ingekuwa ni huku kibongo-bongo unaweza kuweka hata msiba tu.Mobilized. Ni makelele muda wote, hawaelewani🤣🤣
View attachment 2366574