Anayewaambia wajieleze hajui kuwa kuna vita inaendelea. Labda kama missile yao imekosea ikalipiga daraja hapo sawa.Inadawa Shoigu and Gerasimov waambiwa wajieleze kwanini Daraja li. Elipuliwa. Yaani jamaa anaona Ukraine wa kawaida. 🤣🤣🤣
View attachment 2381361
Hata air base ya Crimea ilipopigwa walisema ni sabotage kwamba Ukraine haikulipua.