Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Huyu ni Liliya raia wa Norway, kaandaa nguo za kuwapelekea Wananchi wa Ukraine ambao wamekumbolewa huko Kherson. Ukraine imekomboa vijiji 88 Kherson
20221021_200510.jpg
 
Wanajeshi wa Marekani 4,700 wa Vikosi vya anga, wanaojiita aka "Screaming Eagles", wamepelekwa Mpakani mwa Ukraine na Romania kuangazia kinachoendelea Ukriane. Wameweza kuizunhuka Snake Island.. Na wamepaisha ndege zao anga la Odessa. Pia Wanaendelea na Mazoezi Romania. Wanasema wamepata nafasi ya kuwasoma Warusi. Vita ya Anga Ukraine imefika patamu.
 
Kumbe lile shambuliwa la juzi Antonovsky Bridge, limeondoka na wale wafanya propaganda wa Urusi. Ndo maana naona Urusi wamepoa sana kupost ujinga jana. 🤣🤣🤣

Wamekufa 4, 2 wa Radio ya Jeshi la Urusi kati yao yupo huyu pichani Oleg Klokov, ambaye alikuwa anafsnya kazi Moscow24
20221022_040948.jpg
20221022_040838.jpg
 
Halafu huyu mwana propaganda anadai eti Ukraine imeshambulia gari la raia wasio na hatia. Wamesahau wo wanaua hadi ng'ombe. Wanadai raia Kumbe ni wafanyakazi wa Jeshi la Urusi wakitumia magari ya kiraia wasitambulike. Hapa ni Kherson
 
Mwaka 1941, Urusi ilipokuwa ikilitreat kutoka kwa WANAZI huko Kherson ililipua bwawa ambalo leo tena wanataka walililpue baada ya kuzidiwa na Waukraine.

Halafu watu wanajiuliza iweje USA imsadie Ukraine, Hiki kipande cha gazeti kinatwambia hata Urusi ilisaidiwa na Wamarekani wakati huo ikipambana na WaNAZI

View attachment 2393706
Ni kweli alisaidiwa hasa silaha,magari ya kivita, walishare intelijensia ,vyakula vya wanajeshi mpaka kuna kipindi kulitokea malumbano baina ya US na RUSSIA maana Stalin alieneza propaganda kwamba nchi yake inatoa chakula kwa wanajeshi wake US walivyojua wakawaumbua kwa kuweka charter yao na kuwataka wawaambie ukweli wapiganaji wao chakula kinatoka wapi.

Pia Stalin alimuomba Roovelt ampatie wanajeshi ila akakataa na kumwambia yeye ana watu wengi hivyo hawezi kutoa watu wake kwenda kufa vifaa alivyopewa vinamtosha.

Hii pia ilipelekea kuwepo kwa Eastern Front( Russia) peke yake na Western Front (Allied).Japokuwa Stalin alishatamani kuitawala Europe yote.

WW2 US aliplay role kubwa kuikomboa Europe, alipigana vita mbili, Pacific war (Japan),Atlantic war (Western Europe).Huko kote alikuwa anatoa full support.
 
Yaani Urusi kajivua nguo saana Hii vita Sasa hivi hata Latvia anamtamani Mrusi aruke nae mbele... Mtu askari ameshamaliza kabakiza voda fasta Hana Tena elites military personnel.

Askari wanavaa kofia za Chuma Kama Suma JKT. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Afu West walivyo na utajiri wanatoa fully equipment ... Imagine Kama Canada tu kwa miaka kibao wanatoa Canadian military uniform combat kwa askari wa Tanzania kwa miaka na hawatetereki... Watashindwa kuwapa Wazungu wenzao wa Ukraine magwanda ya kisasa kwa miaka 10.

Hii vita Mrusi kayatinyanga kadri siku zinavyozidi kusonga ndio anafulia zaidi, Bora aachane nayo ni sawa na kuliwa kwenye kamari na ukaendelea kufukuza hasara yako ili ukave ndio unapunwa zaidi .. ulikuwa call it a day nenda home... Kesho nayo siku.

Mrusi apigwe tu! Hasikii Wala hajielewi.
Kumbe Tanzania twapewa msaada wa uniform na mabeberu
 
Back
Top Bottom