Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mimi wagner siwaelewi labisa. Wameweka nini eneo la Bakhmut na soledar. Wanauawa lakini wanarudi tena kwa kasi zaidi.
Basi isiwe ni shida. Wameamua hapo Bakhmut na soledar ndo ukomo; watamalizikia hapo hadi mtu wa mwisho. Mambo ya kukimbizana-kimbizana wameamua iwe basi.
 
Mbona hawazikwi Sasa ?
Mkuu, Unataka uhudhurie mazishi? 😃 😃 😃 😀
Ilishawekwa clip moja hapa iliyoonesha mazishi ya mizoga ya Warussi. (Haifurahishi)
BTW: Tuko interested na mafanikio (including kichapo kinachotolewa kwa Mrussi) zaidi ya habari za waliokufa wanazikwa/huzikwa wapi au inakuwaje - japokuwa hizo habari zinapatikana/hutumwa mara moja-moja e.g. pale AZOV walipokuwa hawachukuimateka.
 
Miamba hii hapa
20230110_162202.jpg
20230110_162045.jpg
20230110_162039.jpg
20230110_162031.jpg
20230110_162020.jpg
20230110_162003.jpg
20230110_161957.jpg
20230110_161950.jpg
20230110_161945.jpg
20230110_161937.jpg
20230110_161926.jpg
20230110_161844.jpg
20230110_161827.jpg
20230110_161813.jpg
20230110_161802.jpg
20230110_161756.jpg
20230110_161730.jpg
20230110_161716.jpg
20230110_161708.jpg
20230110_161704.jpg
20230110_161737.jpg
20230110_161656.jpg
20230110_161648.jpg
20230110_161640.jpg
 
Back
Top Bottom