Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

1. Hatuna maana kuwa tunataka picha za wanajeshi wetu wakipigwa. Lakini kama mtu ataamua kuweka video ya kututambia kuwa wanatupiga hatuwezi kumfanya lolote maana ni haki yake, sisi tuna ushahidi mwingi sana wa mizoga ya warusi .

2. Mafanikio makubwa waliyoyapata Ukraine kwa jasho na damu ni makubwa mno. Askari wa Ukraine akifa vitani ni shujaa maana kapigania nchi na watu wake kwa uzalendo mkubwa. Mwanjeshi wa Russia kufa kwenye vita hii siyo shujaa maana amekufa bila sababu ya msingi. Ndiyo maana tunasema ukimuua jambazi wewe ni shujaa. Jambazi akikuua unapambania haki yako bado utakuwa shujaa.
Jina la thread linasemaje mzee kwanini mnangangania muweke yasiyomo asee ila sisi wabongo ni shida asee!!
 
Good morning
20230113_090952.jpg
20230113_090946.jpg
20230113_090940.jpg
20230113_090934.jpg
20230113_090928.jpg
20230113_090921.jpg
20230113_090915.jpg
20230113_090910.jpg
20230113_090903.jpg
 
 
Kama Urusi imembadili Kamanda mkuu wa kusimamia vita huko Ukraine na hajamaliza hata miezi minne, basi inaonekana Putin haridhishwi na maendeleo ya vita.
Kumuweka Chief of the General Staff ku oversee and lead Ukraine war maana yake Putin kakubali kuwa hii ni vita (war) na siyo SMO. Huyu jamaa pia ni First Deputy Minister of Defence. Kwa Lugha nyingine huyo ndo CDF wa Tanzania.
 
Mimi ni pro Ukraine. Mkuu wa majeshi hajatangaza kwamba sehemu fulani tumepoteza, kwanini niseme? Sababu taarifa zipo wazi na Jeshi likipoteza linasema. Mfano pale Soledar, rais Zelensky kasema mapambano yanaendelea. Mimi nawasikiliza Viongozi wangu. Siwezi kucheza ngoma ya Pro Urusi. Tuongee vitu tukiwa na chanzo cha habari.

Je, chanzo cha kusema Ukraine imeretreat Soledar ni kipi? Hadi sasa sijaona. Ninachojua Urusi wameadvance kwa mara ya kwanza ndani ya miezi miwili. Hivyo mimi ninachopinga ni watu kuleta habari za upotoshaji ambazo hazijafanyiwa uhakiki. Bora mtu apost kama swali kuliko kuhitimisha kwamba tayari Soledar imechukuliwa wakati sio kweli. Tunawavunja moyo wanajeshi wetu.
Sawa, endelea kuamini hivo, lakini ukweli utabaki kama ulivyo kuwa Soledar iko under control of Russian troops. Wanajeshi wetu (frontline) walishatolewa ndani ya mji
Wako nje ya mji wa Soledar.
 
Sawa, endelea kuamini hivo, lakini ukweli utabaki kama ulivyo kuwa Soledar iko under control of Russian troops. Wanajeshi wetu (frontline) walishatolewa ndani ya mji
Wako nje ya mji wa Soledar.

Sijajua next move ya adui ni ipi. Lakini makamanda wetu inabidi wakae chini waevaluate upya mbinu za kupigana nae katika ukanda ule wa mashariki.

Hofu kubwa niliyonayo:

1. Wale askari-raia (mobilized) wa adui, kadri siku zinavyoenda wanagain experience mdogomdogo. Itafikia kipindi wataizoea vita na kukomaa. Wataanza kuleta shida.

2. Haya mafanikio kidogo ambayo adui kapata, yanaweza kuwapa confidence na kuanza kupush upya

Kinachonipa matumaini.
1. Nchi za West zimeshainvest sana kwenye hii vita, kwa hiyo kumruhusu adui ashinde ni sawa na wao kuonekana kufeli. Naamini hawatokubali adui ashinde

2. Pili, Uchumi unazidi kujamba huko kwa Adui. Hii vita ikiendelea adui hatoweza kusustain.

3. Kama nchi rafiki za west zitatupa silaha tunazohitaji, hasa Vifaru na mizinga ya masafa marefu tutapiga counter offensive nyingine na kuwapush nyuma
 
Umrpotea njia. Hii inahusu frontline ya Ukraine sio usafiri wa treni. Kuna post za Wasafiri kapost huko. Ukiwa huna cha kuongea kaa kimya kama wenzio wanaosoma kimya kimya. Hata like usigonge
Shida ninini!
Kama uzi ulifungua acha watu watoe mawazo yao.
Utaweza kila kitu hutaki, unataka wacoment unachotaka wewe! Basi si muufute au pelekeni kwingineko basi.
 
Huyu Askari wa Ukraine kaelezea vizuri sana situation ilivyo huko Soledar. kaeleza vizuri na kunipa hope sana!

View attachment 2480175
Hawa reconnaissance tunaweza kuwaita wapelelezi, kabla majeshi hayajafika, wao wanakuwa washafika zamani na wanajua jeshi lao litapita wapi na wapi kuna vikwazo. Wanatumia Drones, ndege za Upelelezi Magari, pikipiki nk. Saa nyingine wanajifanya raia wakulima ili kujua kinachoendelea. Then wanatoa taarifa kwa vikosi hali ilivyo. Nawakubali sana.
 
Kazi moja kubwa ya reconnaissance ni kutafuta Maadui wamejificha wapi wana Silaha gani. Wanakuja na vipimo vya latitude na longitude adui alipo. Wazee wa survey na wapelelezi wa Uwanja wa vita. Adui akikamatwa anapelekwa kwenye hiki kikosi kimtwange maswali.
 
Huyu Askari wa Ukraine kaelezea vizuri sana situation ilivyo huko Soledar. kaeleza vizuri na kunipa hope sana!

View attachment 2480175
Very clear. Nimeelewa kwa nini wamewapisha katikati ya mji. "It is just to Trap them".

Nadhani pia wingi wa maiti za warusi zinazotoa harufu ni sababu mojawapo ya wao kuondoka maeneo hayo. "Conducive fighting environment". Trenches zimejaa maiti. Na russia hawachukui mizoga yao.

Ukraine wanapigana kwa akili na wameshawasoma kisaikolojia adui wao.
 
Back
Top Bottom