Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Leo tumebadilisha Wafungwa wa Kivita 116. Wapo waliokamatwa Mariupol, Kherson na Bakhmut. Pia mii ya Wanajeshi wa kigeni waliokuja kujitolea Ukraine ya Christopher Matthew Perry na Andrew Tobias Matthew, nayo imerudi kwa kubadilishana

 
Christopher Matthew Perry na Andrew Tobias Matthew. RIP
20230204_173329.jpg
 
Mnamkumbuka Igor Mangushev? Ni Mwanajeshi wa Kukodi. Ana kikundi chake cha jeshi alichounda huko Urusi kuja kupambana Ukraine. Kikundi chake kinaitwa ENOT ambacho kinalipwa na Putin hadi Vifaa wanapewa.

Mara ya mwisho alionekana jukwaani kashikilia Fuvu la mtu na kudai ni kichwa cha Askari wa Ukraine ambaye alimuua huko Azovstal Mariupol. Na yeye leo kapewa za kichwa. Japo kawahishwa Hospital, akipona atajifunza
IMG_20230204_174119_321.jpg
IMG_20230204_174119_407.jpg
IMG_20230204_174120_109.jpg
 
Back
Top Bottom