Ni kichapo kizuri kweli 😂😂😂Angalia Warusi walivyo kula kichapo
View attachment 2549151
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kichapo kizuri kweli 😂😂😂Angalia Warusi walivyo kula kichapo
View attachment 2549151
Sema huu mji wameubomoa sana hawa washenzi.Wanaume wa Ukraine wakipiga "zengazenga" , wakipita nyumba kwa nyumba kuwasaka wapiganaji wa Wagner huko Bakhmut
View attachment 2549536
Huwa wakishindwa kukamata mji wabaua paka, mbwa, N'gombe miundombinu na kila kitu. Huwa wana wivu na wanachukia kuona Ukriane wanaishi kitajiri kuliko wao. Wabaiba hadi mashine za kifulia nguo pasi za umeme hadi saa za mikononi na HelenSema huu mji wameubomoa sana hawa washenzi.
All they dead Russia is winnerWarusi hawataisahau Bakhmut. Walikuja kichwa kichwa
View attachment 2549669
Hafiki kwenye uwanja wa Vita, anaishia maeneo yaliyo chini ya udhibiti wa askari wake.Itangazwe deal tu kula kichwa cha huyo kiongozi wa Wagner si huwa anatembelea huko Frontline.
Nextime alienda asirudi.
Ukraine wameweka sana nguvu kuzuia huu mji usianguke, Sasa watakuwa na manpower ya kutosha kufanya counter offensive maeneo mengine ?1. Wagner baada ya kuona kuna defense ngumu kuvuka mto Bakhmut kwa mashariki na kushindwa ku break frontline ya Ukraine kwa upande wa kaskazini mwa Bakhmut. Wameondoka na kuwaacha wanajeshi wa jeshi la Urusi.
2. Wagner Tarehe 9/03/2023 walienda kuanzisha offensive kusini magharibi mwa Bakhmut kuelekea Kostyantynivka. Walifanikiwa ku advance lakini wamethibitiwa.
3. Wanajeshi wengi wanaouawa kaskazini mwa Bakhmut ni wa jeshi la Urusi. Wagner wameona ngoma nzito wataisha wamewaachia wanajeshi wa Russia.
Mzee wa jagajagaa
View attachment 2549014
Angalia Warusi walivyo kula kichapo
View attachment 2549151
Askari wanaenda Frontline na fimbo badala ya bunduki. Si wajisalimishe tu? Drone imewachukua picha Bakhmut
View attachment 2549179View attachment 2549180
Warusi wakipelekewa moto
View attachment 2549624
Huyu Mrusi hakujificha vizuri na Drone ya Ukriane ikamuona
View attachment 2549645
Warusi hawataisahau Bakhmut. Walikuja kichwa kichwa
View attachment 2549669