Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Russia ni super power wa kwenye sinema siyo frontline battles.

Hoja zifuatazo zinadhibitisha hayo;

1. Kushindwa kuiteka Ukraine ndani ya masaa 72 na badala yake mwaka 1 na ushehe hajateka hata 25% ya ardhi ya Ukraine ni ushahidi kuwa kumbe Russia ni super power wa kwenye sinema.

2. Ukraine imetudhibitishia kuwa ina jeshi imara lenye mbinu za kisasa kuliko Russia/Wagner. Ndiyo maana ameweza ku hold frontline ya zaidi ya km 1,200 na kumthibiti Russia ashindwe ku advance ni ushahidi tosha kuwa Russia ni super power wa kwenye sinema.

3. Russia anayejiita super power kashindwa kuteka vimji vidogo kama Bakhmut, Vulhleder na Avdiivika zaidi ya mwaka sasa. Matokeo yake maeneo hayo yamekuwa machinjio ya wanajeshi wa anayejiita super power. Hii inadhibitisha kuwa ni super power wa kwenye sinema siyo frontline.

4. Kitendo cha kuelekeza hasira zake kwenye nyumba za makazi ya watu na kubomoa miundo mbinu ya umeme na maji badala ya kambi za jeshi na frontline ya Ukraine ni ushahidi mwingine kuwa Russia frontline battle hawezi. Ni ushahidi mwingine kuwa Russia hana uwezo mkubwa wa kijeshi tofauti na ambavyo tuliaminishwa kuwa ni super power.

Hitimisho.
1. Russia hatashinda vita hii iwe jua au mvua.

2. Russia mwaka huu ataondolewa kwenye maeneo yote ya Ukraine ikiwemo Crimea kwa aibu kubwa.

3. Russia baada ya kufurushwa maeneo yote ya Ukraine atabaki kurusha vikombora ambavyo vimeshinda kuwafanya wananchi wa ukraine ku frozen wakati wa winter kama alivyokusudia. Sasa hawezi tena na u super power wake wa kwenye sinema.
Mkuu hii nakubaliana na wewe.
Russia kuna kipindi nilijua ataichukua bakhmut lakini kwa hali ya sasahvi naona hata hiyo bakhmut hana muda hapo watamfurusha mbali.
 
Watoto wakiangalia hii clip wataona kama ni move fulani hivi na pengine wanaweza kusema "Mtakoma leo" 😀 😀 🏃‍♂️
1. Hizi Clips pro Russia zinawakera sana hadi wanajaa upepo. Ndiyo maana wanakuja kutukana bila hata sababu.

2. Wengi wao ni vilaza. Wanajazwa ujinga wanaamini.

3. Hawajui hata vita ikoje au uwanja wa vita (battle field) zaidi ya simulizi. Hata ukimpa bunduki hajui hata kukoki na pengine hata kuigusa tu bunduki hawajawahi Lakini eti naye anaongelea battle field ilivyo.
 
Russia ni super power wa kwenye sinema siyo frontline battles.

Hoja zifuatazo zinadhibitisha hayo;

1. Kushindwa kuiteka Ukraine ndani ya masaa 72 na badala yake mwaka 1 na ushehe hajateka hata 25% ya ardhi ya Ukraine ni ushahidi kuwa kumbe Russia ni super power wa kwenye sinema.

2. Ukraine imetudhibitishia kuwa ina jeshi imara lenye mbinu za kisasa kuliko Russia/Wagner. Ndiyo maana ameweza ku hold frontline ya zaidi ya km 1,200 na kumthibiti Russia ashindwe ku advance ni ushahidi tosha kuwa Russia ni super power wa kwenye sinema.

3. Russia anayejiita super power kashindwa kuteka vimji vidogo kama Bakhmut, Vulhleder na Avdiivika zaidi ya mwaka sasa. Matokeo yake maeneo hayo yamekuwa machinjio ya wanajeshi wa anayejiita super power. Hii inadhibitisha kuwa ni super power wa kwenye sinema siyo frontline.

4. Kitendo cha kuelekeza hasira zake kwenye nyumba za makazi ya watu na kubomoa miundo mbinu ya umeme na maji badala ya kambi za jeshi na frontline ya Ukraine ni ushahidi mwingine kuwa Russia frontline battle hawezi. Ni ushahidi mwingine kuwa Russia hana uwezo mkubwa wa kijeshi tofauti na ambavyo tuliaminishwa kuwa ni super power.

Hitimisho.
1. Russia hatashinda vita hii iwe jua au mvua.

2. Russia mwaka huu ataondolewa kwenye maeneo yote ya Ukraine ikiwemo Crimea kwa aibu kubwa.

3. Russia baada ya kufurushwa maeneo yote ya Ukraine atabaki kurusha vikombora ambavyo vimeshinda kuwafanya wananchi wa ukraine ku frozen wakati wa winter kama alivyokusudia. Sasa hawezi tena na u super power wake wa kwenye sinema.
Russia ni super power wa kwenye sinema siyo frontline battles.

Hoja zifuatazo zinadhibitisha hayo;

1. Kushindwa kuiteka Ukraine ndani ya masaa 72 na badala yake mwaka 1 na ushehe hajateka hata 25% ya ardhi ya Ukraine ni ushahidi kuwa kumbe Russia ni super power wa kwenye sinema.

2. Ukraine imetudhibitishia kuwa ina jeshi imara lenye mbinu za kisasa kuliko Russia/Wagner. Ndiyo maana ameweza ku hold frontline ya zaidi ya km 1,200 na kumthibiti Russia ashindwe ku advance ni ushahidi tosha kuwa Russia ni super power wa kwenye sinema.

3. Russia anayejiita super power kashindwa kuteka vimji vidogo kama Bakhmut, Vulhleder na Avdiivika zaidi ya mwaka sasa. Matokeo yake maeneo hayo yamekuwa machinjio ya wanajeshi wa anayejiita super power. Hii inadhibitisha kuwa ni super power wa kwenye sinema siyo frontline.

4. Kitendo cha kuelekeza hasira zake kwenye nyumba za makazi ya watu na kubomoa miundo mbinu ya umeme na maji badala ya kambi za jeshi na frontline ya Ukraine ni ushahidi mwingine kuwa Russia frontline battle hawezi. Ni ushahidi mwingine kuwa Russia hana uwezo mkubwa wa kijeshi tofauti na ambavyo tuliaminishwa kuwa ni super power.

Hitimisho.
1. Russia hatashinda vita hii iwe jua au mvua.

2. Russia mwaka huu ataondolewa kwenye maeneo yote ya Ukraine ikiwemo Crimea kwa aibu kubwa.

3. Russia baada ya kufurushwa maeneo yote ya Ukraine atabaki kurusha vikombora ambavyo vimeshinda kuwafanya wananchi wa ukraine ku frozen wakati wa winter kama alivyokusudia. Sasa hawezi tena na u super power wake wa kwenye sinema.
4. Kitendo cha kuelekeza hasira zake kwenye nyumba za makazi ya watu na kubomoa miundo mbinu ya umeme na maji badala ya kambi za jeshi na frontline ya Ukraine ni ushahidi mwingine kuwa Russia frontline battle hawezi. Ni ushahidi mwingine kuwa Russia hana uwezo mkubwa wa kijeshi tofauti na ambavyo tuliaminishwa kuwa ni super power.
Naongezea:
5. Kitendo cha Urusi kukimbia-kimbia huku na kule akihaha kutafuta misaada na support kutoka kwa nchi ndogo-ndogo (including African countries) wa wapiganaji ikiwemo kukodi mamluki badala ya kutumia raslimali-watu wake mwenyewe ni ishara ya wazi kwamba Urusi yuko hoi bin taaban na ameishiwa kabisa uwezo na hivyo kumbe tulidanganywa na kuaminishwa eti yeye ni supa pawa kumbe ni ziii hamna lolote.
 
4. Kitendo cha kuelekeza hasira zake kwenye nyumba za makazi ya watu na kubomoa miundo mbinu ya umeme na maji badala ya kambi za jeshi na frontline ya Ukraine ni ushahidi mwingine kuwa Russia frontline battle hawezi. Ni ushahidi mwingine kuwa Russia hana uwezo mkubwa wa kijeshi tofauti na ambavyo tuliaminishwa kuwa ni super power.
Naongezea:
5. Kitendo cha Urusi kukimbia-kimbia huku na kule akihaha kutafuta misaada na support kutoka kwa nchi ndogo-ndogo (including African countries) wa wapiganaji ikiwemo kukodi mamluki badala ya kutumia raslimali-watu wake mwenyewe ni ishara ya wazi kwamba Urusi yuko hoi bin taaban na ameishiwa kabisa uwezo na hivyo kumbe tulidanganywa na kuaminishwa eti yeye ni supa pawa kumbe ni ziii hamna lolote.
1. Russia siyo kwamba hana wanajeshi wa kutosha. Ni kwamba hawana mafunzo mazuri ya kivita na pia wanatumia silaha duni za ki soviet. Ndiyo maana wanakufa sana wakifika frontline

2. Russia hataki wanajeshi wake wazoefu wapukutike ndiyo maana ana outsource. Ndiyo maana unaona wagner ndo ana drive frontline. Ndiyo maana anachukua/anatafuta wapiganaji wenye njaa ya pesa kutoka ndani na nje (Mercenaries). Hata wakifa haileti madhara.

3. Safari hii kaua wanajeshi wake wengi hakutarajia. Aliidharau sana Ukraine.

4. Russia anapenda kupigania vita nje ya nchi yake ili asipate madhara ya miundo mbinu na wananchi wake. Ndiyo maana anatumia millitary proxy kama Belarus, Ukraine (Donbas) etc. Safari hii kabugi men.

5. Putin anajua akitolewa Ukraine mchakato wa Ukraine kuwa NATO member utakimbizwa mchaka mchaka ili Ukraine iwe millitary base ya NATO. Hapo wanaume watakula sahani moja naye direct akileta fyoko.
 
Mamia ya Makaburi mapya ya Wagners. Warusi wa kwa Mpalange wanawaita Mashujaa. Hawa wamefia Bakhmut. Hawa ni tofauti na wale wanaoachwa msituni.
View attachment 2567057
Unafiki na Uzandiki mtupu. Eti Warusi wanapamba kwa maua makaburi ya mijitu katili Wagner iliyokuja Ukraine lengo likiwa ni kuua Raia kwa malipo kutoka kwa mshenzi Putin. Ni akheri zaidi mizoga ya wagners walioachwa au kutelekezwa maporini huko wajiozee na kuongeza walau mbolea katika ardhi ya Ukraine iwe ni faida. 😳 👆👆
 
Taiwan imeipa Ukriane drones zaidi ya 1,000. Urusi nawahurunia
20230327_131128.jpg
 
Back
Top Bottom