Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

Naomba picha mkuu
70672ede09e4ebbff8ba7264d47610f3.jpg
 
Mkuu huko nje ya mada, ukweli ni kwamba mimi hizi sideal nazo ila naweza kukuunganisha na rafiki yangu ambae anashughulika na masuala haya ya game, mrafute huyu 0773620990 nadhani utafanikisha in shaa Allah
Mkuu huko nje ya mada, ukweli ni kwamba mimi hizi sideal nazo ila naweza kukuunganisha na rafiki yangu ambae anashughulika na masuala haya ya game, mrafute huyu 0773620990 nadhani utafanikisha in shaa Allah
Mkuu huko nje ya mada, ukweli ni kwamba mimi hizi sideal nazo ila naweza kukuunganisha na rafiki yangu ambae anashughulika na masuala haya ya game, mrafute huyu 0773620990 nadhani utafanikisha in shaa Allah
Mkuu huko nje ya mada, ukweli ni kwamba mimi hizi sideal nazo ila naweza kukuunganisha na rafiki yangu ambae anashughulika na masuala haya ya game, mrafute huyu 0773620990 nadhani utafanikisha in shaa Allah

mkuu samahani na mimi naomba msaada wa namba za mtu anayeuza mafriji
 
Salaam Alaykum Sheikh,
Naomba bei ya size hizi kwa SAMSUNG LED TVs
32'
40'
42'
48'
55'
Tafadhali nitajie bei ya kuniletea mpaka Dar.
Shukran.
32".....500000
40".....800000
42".....hamna
48".....zipo smart 1.55m
50".....1300000
55".....zipo curved 3m
 
Back
Top Bottom