kisanganyakiswata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2014
- 1,299
- 552
Nataka TV chogo kubwa kabisa bei gan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sijui chochote kuhusu hiyo brand maana huku sijawahi kuiona hata kwenye maduka ya jirani so siwezi kuongelea chochote kuhusu hizoVipi ubora wa TV za Boss ukoje?
Na unazo hapo kwako kama unazo unauzaje inch 32 ya kawaida na 32 ambayo ni Boss smart TV?
Mkuu kwa nini usifungue ofisi Dar.?? Najua utapata wateja MubasharaHatuna duka dar, tuna mtu tu wa kupokea na kukabizi mzigo kwa mhusika, kama unataka kuona na kukagua njoo zanzibar
Nalifahamu hilo mkuu sema nahisi tukifungua huko bei inaweza kulingana tu na hao wa hapo kwa sababu ya makodi mengi na makubwa piaMkuu kwa nini usifungue ofisi Dar.?? Najua utapata wateja Mubashara
Mkuu naomba kujua kama Dodoma mnawakala.Nalifahamu hilo mkuu sema nahisi tukifungua huko bei inaweza kulingana tu na hao wa hapo kwa sababu ya makodi mengi na makubwa pia
Hiyo star x 50 shingap?Si maeneo yote ya nchi nafanya hivo, hayo ni kwa maeneo ambayo tuna wawakilishi wetu tu, ambayo ni dar, tanga, arusha na moshi kilimanjaro, sehem nyengine ambazo hatuna wawakilishi utalipia kwanza ndo tutakutumia mzigo wako, natanguliza shukrani
Hatuna mkuuMkuu naomba kujua kama Dodoma mnawakala.
Asante karibu sana mkuuDah! Mkuu abdul hivi vitu vyako vinanitoa udenda ngoja nizichange fasta maana hakuna namna!
850000Hiyo star x 50 shingap?
Samsung smart 50" na lg smart 49" bei zake ni 1.6m,Sumsung 43",50" bei ikoje
Lg 43 ,50+ bie piA ziwe smart tafadhali sana
Nitaitaka hii mkuuLg hometheatre![]()
Price 450000
0718919725 & 0777650286 nitafute tumalize biasharaNitaitaka hii mkuu
Ok nikutumia namba zao baadae kidogohabar mkuu,,,naomba unisaidie mawasiliano ya wauzaji mazulia zanzibar.
sawa mkuu nitashukuru.Ok nikutumia namba zao baadae kidogo
Hizi mkuu hatuna kwa sasaLg smart tv 32 n sh ngap mkuu