thuwainize
Senior Member
- Jan 29, 2022
- 178
- 382
Mashindano ya Teknolojia-Russia ana kazi kubwa sana ya kuprove kuwa yupo vizuri kuliko US na nduguzehii ni zaidi ya vita
ila mrusi alikuw anamtesa sana mukraine kwenye cyber attack sasa zamu yake
muda flani RT ilikuwa inapiga nyimbo za ukraine hakuna matangazo ya moja kwa moja acha wanyioshane
Kuna uwezekano mkubwa mno upo sahihi. Kama NATO inamshambulia kwenye uchumi lazima pia inatafuta njia ya kumshambulia kwenye field nyingine.Urusi anapiga na NATO allies akiwa anajua ni Ukraine.
Watu wanaona Rais wa ukraine anakunywa kahawa na kupiga selfie hata hawashtuki.
Urusi, inabidi afanye Tathimini upya.
heheee pole MKUU yaani labda wampige ila kutoka uwanja wa VITA bure bure hilo usahauNaungana na mtazamo WAKO hakika Urusi ata retreat mwenyewe kutoka Uwanja wa Vita, Mashinikizo anayokutana nayo ni Mengi mno
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
China mnafiki huyu ashaanza kuvuta hatua kurudi nyuma kutoka alipo Rusia-benk zake 2 zimeanza punguza biashara na urusi kwa kuhofia marekani.
Kama wanapost inamaana bado hawajadhibitiwa na Russia.Ukraine wamebaki wakipost fake videos
Jana waliachwa ili waingie mazungumzo wakapuuza leo urusi kasema watawapelekea moto mpaka wajuteKama wanapost inamaana bado hawajadhibitiwa na Russia.
Mgonjwa akilia inaumaa daktari anafurahi anajua hajaparalise.
Unaleta umbea wa FB hapa?Jeshi nchini Ukraine limechapisha taarifa kwenye ukurasa wake wa Faceebook wakieleza kuwa zaidi ya wanajeshi 3,500 wa Urusi waliohusika katika uvamizi nchini humo wameuawa. na kwamba mpaka sasa urusi imeshapoteza ndege 14, helikopta 8, na mizinga 102.
endelea kutabiri MKUU ila nisuala lamuda tu kabla ya KIEV kua chini ya MOSCOWUpo uwezekano mkubwa Ukrain ikamshinda mrusi katika Vita inayoendelea, baadhi ya sababu zinazotajwa kumdhiriotosha mrusi ni pamoja na
1. Vita Hii kuingiliwa na mashambulio ya kimtandao ambapo baadhi ya hackers kutoka mashirika ya kijasusi wanapambana na mitandao na mifumo ya mawasiliano ya Urusi wakiwa wamejificha Kwenye kichaka cha invisible. Tukumbuke Vita Hii inaongozwa zaidi ya technology kuliko nguvu za mwili hivyo Urusi anapambana na Dunia kitekinologia huku akipambana na Ukraine Kwa nguvu za mwili
2. Urusi anapopigana na Ukraine analinda asipambane na raia Bali apambane na askari, yanahitajika mahesabu makubwa.
3. NATO inamsaidia Ukraine
4. Kiu ya Mataifa Makubwa nikuitumia Vita ya Ukraine kujua nguvu ya Urusi
5. Vikwazo vya kiuchumi ni jambo baya Kwa uchumi wa Urusi na wananchi wake. Urusi inapigwa Kwa maneno huku vikwazo vikianza kufanya kazi ikiwemo tukio la ufaransa kukamata meli ya Urusi.
6. Wakati Ukrain akifanya jitihada ya mazungumzo na Urusi ,upo uwezekano wa Urusi kuanza kuomba mazungumzo na wakubwa wenzie kuepusha vikwazo vya uchumi.
Natabiri ushindi wa Ukrain....
Sawa mkuu.Na ndivyo inavyokuwa boss.
Kwa Data za wachambuzi, Eukraine kwa ukubwa na uwezo wa jeshi lake mpaka sasa walitakiwa wawe wameshashindwa ukilinganisha na ukubwa na uwezo wa jeshi la Urusi.
Kuna uwezekano hizi habari zinakuja baada ya kufanikisha kufikisha silaha na msaada ndio maana mpaka sasa bado Eukrain imeweza kuhold.
Hata zile kelele za raisi za nimetelekezwa si za kuamini, inawezekana ni hadaa za kivita.
Anonymous Ndio wanasema walihack kisha wakaplay nyimbo za Ukraine...hii ni zaidi ya vita
ila mrusi alikuw anamtesa sana mukraine kwenye cyber attack sasa zamu yake
muda flani RT ilikuwa inapiga nyimbo za ukraine hakuna matangazo ya moja kwa moja acha wanyioshane
Unaambiwa warusi soldiers wanaenda ukraine hawana map na ukraine wanatoa majina ya mtaa .Kweli zellensky is the next Winston ChurchillUrusi inasemwa kuwa nchi yenye uwezo wa kupiga nchi zote za nato at the same time.
sasa kinachoendelea pale Ukraine tumeanza ku- question uwezo huo unahubiriwa kwenye social media
na warusi wenyew wanasnitchianaAnonymous Ndio wanasema walihack kisha wakaplay nyimbo za Ukraine...
Na nadhani wanapata upinzani wa ndani pia... Ndio maana inakuwa rahisi kuwavamia
Huko kiev hali si shwari... Kuna group la Ukraine wanalalama kwamba jamaa Mrusi anatupa vitu vizitoendelea kutabiri MKUU ila nisuala lamuda tu kabla ya KIEV kua chini ya MOSCOW
Afadhari kama ni kweli,simpendi Putin,natamani huu ndiyo uwe mwanzo wa mwisho wa utawala wake wa ki Dikteta.
Hakuna bomb linaloweza angamiza dunia lenyewe tuJamani hii ni kweli? Asee kama ni kweli russia hapana adhibiitiwe mapema hii ni htrView attachment 2131976