KanushoRussian VDV paratroopers have been reportedly dropped over Kiev city as Ukrainian anti-aircraft guns are firing in the sky.
😅Kupiga ama kutopiga mchana hiyo ni mbinu tu za kivita alafu kumbe unaadithiwa ndio unaleta humu jf pole Sana.
Duuh!!! spoon feeding tena.weka hiyo habari hapa ya putin kusitisha mapigano
Hizi siku mbili tutajua mbichi na mbivuHuko kiev hali si shwari... Kuna group la Ukraine wanalalama kwamba jamaa Mrusi anatupa vitu vizito
kwa sheria za kivita, unatakiwa kupiga pale panatokea mashambulizi dhidi yako, that means, kama wanajeshi wa ukrain wamejificha kwenye shule au hospitali, wanarusha makombora kukushambulia wakiweka shule hiyo au hospitali kama shield, huwezi kukaa kimya uendelee kuumia, unatakiwa kupiga pale risasi inapotokea. ndio yanayoendelea. watu wengi huwa hawaelewi pia kwanini israeli huwa anapiga na kudondosha majengo kule gaza, ni kwasababu pale anapopiga ndipo risasi inayomlenga inapotokea. kuna military justification za namna hiyo. kama adui amepanda kwenye amburence anakushambulia au anavush amabom kwenye amburence, tandika hiyohiyo, au umwache akumalize.
Saga ni kuwa na nuclear tu...Hii vita Russia na Putin wataumbuka vibaya sana USA,,na washirika wao NATO yote kuna mahala wanawalia timing Russia jiulize kwa nini silaha nzito zote za Ukraine zimehamishiwa mpakani mwa Ukraine na Poland,itafika point majeshi ya Russia yatabugi na mashambuliizi yao yatawagusa Nato.and that's where the saga will start trust me..Russia wanawashiriki wao China na underground supporter wao North Korea that's where Nato na washirika wake wanapataka na ndio maana kimkakati kabisa waliacha Kwanza kuingilia mgogoro in deep since 2014 pale majimbo ya Ukraine yalipojitenga na kupata support za kijashi toka Russia.Mkasa unapamba moto watu wanatafuta kisa sasa.
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
actually, vita ni nzuri zaidi usiki ili kupoteza ushahidi mwingi wa ukiukwaji wa sheria za kivita.Kupiga ama kutopiga mchana hiyo ni mbinu tu za kivita alafu kumbe unaadithiwa ndio unaleta humu jf pole Sana.
Wakiiweka unitag mkuuweka hiyo habari hapa ya putin kusitisha mapigano
kuua mtu aliyeko vitani (combatant) ambaye sio mateka wa vita, sio kosa la kivita (war crime). pia, justified attack on civilian area, mfano, kama hapo ndipo adui amekaa kujikingia raia ili akushambulie, sio kosa bali yeye ndio anafanya kosa. tafuta kitu inaitwa SANREMO MANUAL utaona nini makosa ya kivita na yasiyo ya kivita.sio ndo puttin atakuw mhalifu wa kivita
my friend, hivi ukipewa bunduki, ukaenda kufa, kuna faida gani? at the end of the day urusi itashinda tu, kwani ukiwa vitani kufa kwako kuna faida au hasara? umekufa, waliobaki wanaendelea na maisha, utajiona hero jina tu lakini kiukweli wewe ndio umepoteza. kwamba raia wote waliopewa bunduki 10,000 ni askari? na wanapambania mtaani, hawana mavazi ya kijeshi hata ya kuwakinga na risasi tu, hawapo kwenye magari ya deraya? wapo naked tu yaani na bunduki na unataka wapambane na wanajeshi wa urusi? si kuwasacrifice raia wako hapo? na vita ikiisha sihala zote hizo zipo mikononi mwa raia, watauana wao kwa wao na uhalifu utaisha, who is going to monitor them baada ya hapo? na wakimaliza risasi wapi wanapata zingine?Raia wa Eukraine waliokubali kuchukua bunduki wanajua wanaenda kufa kwa ajili ya nchi yao. Na hizo bunduki sio toi. Ni bunduki iliyobebwa na askari.
Ndugu yangu, kama wangekuwa wanafikiri kama wewe pasingekuwa na vita.my friend, hivi ukipewa bunduki, ukaenda kufa, kuna faida gani? at the end of the day urusi itashinda tu, kwani ukiwa vitani kufa kwako kuna faida au hasara? umekufa, waliobaki wanaendelea na maisha, utajiona hero jina tu lakini kiukweli wewe ndio umepoteza. kwamba raia wote waliopewa bunduki 10,000 ni askari? na wanapambania mtaani, hawana mavazi ya kijeshi hata ya kuwakinga na risasi tu, hawapo kwenye magari ya deraya? wapo naked tu yaani na bunduki na unataka wapambane na wanajeshi wa urusi? si kuwasacrifice raia wako hapo? na vita ikiisha sihala zote hizo zipo mikononi mwa raia, watauana wao kwa wao na uhalifu utaisha, who is going to monitor them baada ya hapo? na wakimaliza risasi wapi wanapata zingine?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hii ambush ya ukraine inawalaza russia wanakufa km kuku
Yes ni fakeKuna taarifa zinasambaa kwamba video nyingi zinazorushwa na Ukraine sio halisi
ilikuwa haiepukiki, hata asingeenda vitani, kuna siku angekuja kupigana na NATO, sasa bora nini, apigane sasaivi ammalize kabisa ukrain mengine yatajipa baadaye akishamaliza kazi, au asubiri nato waingie chumbani kupitia ukrain aje apambane nao wammalize kabisa? ilikuwa haina jinsi. hadi sasa ameshafanya pakubwa sana dhidi ya ukrain. kilichobaki ni sasa kuangalia namna atakavyofufua uchumi, na lazima atakuwa alijipanga akitegemea haya yatatokea. europrean union ni toothless, hata wafanyeje, ni wajinga tu.EU commissioner anaongea sasa.
Russian bank kutolewa SWIFT.
Central Bank imekuwa paralised.
Anasema Puttin anadestroy Eukraine lakini pia anadestroy future ya watu wa nchi yake.
Okeyilikuwa haiepukiki, hata asingeenda vitani, kuna siku angekuja kupigana na NATO, sasa bora nini, apigane sasaivi ammalize kabisa ukrain mengine yatajipa baadaye akishamaliza kazi, au asubiri nato waingie chumbani kupitia ukrain aje apambane nao wammalize kabisa? ilikuwa haina jinsi. hadi sasa ameshafanya pakubwa sana dhidi ya ukrain. kilichobaki ni sasa kuangalia namna atakavyofufua uchumi, na lazima atakuwa alijipanga akitegemea haya yatatokea. europrean union ni toothless, hata wafanyeje, ni wajinga tu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Vitafunwa vipo?RUSSIA KAPIGWA VIBAYA MNO KUFIKIA BADAE KUKIKUCHA ANA SURRENDER [emoji1]