LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Huyu[emoji115][emoji115] ndezi bado yupo [emoji1787][emoji1787] ni sawa sawa na kusema kiduku ana ogopa vita
 
Hii UNSC wakati mwingine ni 'upuuzi mtupu'. Kama mataifa yanavamiana kijeshi, huku chombo cha kushughulikia usalama wa kimataifa kipo, basi hakuna maana yeyote ile kuendelea kuwa na baraza hilo. Tofauti na hapo, baraza hilo linahitaji marekebisho makubwa (overhaul).
 
Hii kichwa niyaanina yake !! [emoji41][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…