Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu[emoji115][emoji115] ndezi bado yupo [emoji1787][emoji1787] ni sawa sawa na kusema kiduku ana ogopa vitaSasa mkuu unacho pinga nn na unacho kubali ni kipi?
Maana kwa hoja yako tiyari umesha unga mkono mawazo yangu.
Na ndio maana nikataa hoja yake ya kwamba Urusi ina ogopa kuivamia Ukraine kwa sababu ina ogopa kupingwa na Marekani.
Nilicho taka kumaanisha ni kwamba Marekani hawezi kuweka mamilioni ya raia na uchumi wake rehani eti kwa ajili ya kuitetea Ukraine kwa sababu hana sababu na maslahi ya kufanya hivyo zaidi ya kupeteza.
Wamarekani gani hawa hawa walio chapwa Vietnam au unadhungumzia wengine[emoji15][emoji15]Rudi kasome bila Marekan Ujeruman ingeshinda vita.
Urusi walisema Watatrade na China, North Korea na Iran.Hakuna kitu Marekani na Wamagharibi wenzie watafanya zaidi ya vikwazo vya kiuchumi na propaganda tu.
So wewe ni Timu PutinPutin ni genius sana. Urusi ina Rais kwelikweli.
Ujinga tu. Putin na Biden na wadau wote wanaohatarisha usalama wa dunia ni WAJINGA. Wanajeshi watakufa, raia watakufa ili wao wasifiwe na watu aina yako.Putin ni genius sana. Urusi ina Rais kwelikweli.
Watu hata sasa wangali wanakufa. Hiyo hata siyo hoja.Ujinga tu. Putin na Biden na wadau wote wanaohatarisha usalama wa dunia ni WAJINGA. Wanajeshi watakufa, raia watakufa ili wao wasifiwe na watu aina yako.