LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ayo siku hizi anaandika habari za ovyo za kukreat attention ili kuongeza viewers wake kibiashara.
Uongo mkubwa br
Hata kama una mahaba yaliyokithiri kwa upande mmoja, shirikisha hata akili kidogo.

Sasa hapa unamlaumu Ayo kwa ubaya gani? Yeye amepost tàarifa iliyoripotiwa BBC, suala la ukweli wa habari libaki kwako maana si wewe wala Ayo mlio kwenye tukio.

We ni mtanzania acha tabia hii.
 
Muwe mnasikiliza vizur... Ukraine haijakataa mazungumzo Bali imekataa sehem ya kufanyia mazungumzo....
Hujaelewa Ed. Aliyeomba mazungumzo ni Eukraine. Tukaambiwa anaomba poo maana kazidiwa. Sasa swali likaja kapewa nafasi ya mazumgumzo halafu anagoma tena? Unatoa masharti?
 
Nchi inaweza ipiga nchi ambayo wananchi hawaitaki Serikali tofauti na hapo ni ngumu itakuwa mchezo wa kuviziana tu
 
Mji usharudishwa muda huu
 
Qomamae zake Ukraine amesusa kikao? Haya atawekwa kikaungoni sasa alafu haya mambo ya kucheleweshwa cheleweshwa Ukraine yananiudhi sana. Tummalize before Simba hajamlamba Rebeka jioni
 
Huo mji usharudishwa Ukraine
 
❗️Ukrainian delegation heads to Gomel for negotiations with the Russian side - Interfax citing Belpresscenter

It comes after reports that Belarusian leader Lukashenko spoke to his Ukrainian counterpart in the last hour.
 
View attachment 2132962

Ukraine: We're kicking ass but also please help us!

Ukraine wananifurahisha sana! Vita ina siku 3 kwa 4 wamewaangusha Urusi hivyo! Ok, ni lini watafika Moscow na kuizingira?
Wao hawapeleki vita nje ya mipaka yao ila Belarus ajiangalie mabomu yanatokea kwake ataanza pigwa na yeye
 
Qomamae zake Ukraine amesusa kikao? Haya atawekwa kikaungoni sasa alafu haya mambo ya kucheleweshwa cheleweshwa Ukraine yananiudhi sana. Tummalize before Simba hajamlamba Rebeka jioni
Unafikiri Babu putin anapenda kuchelewesha jasho la mbupu na rupu linamvuja huko yeye na wanajeshi wake
 
⚡️CEASEFIRE TALKS: Ukraine confirms the meeting in Gomel, Belarus - Russian delegation head
 
Hujaelewa Ed. Aliyeomba mazungumzo ni Eukraine. Tukaambiwa anaomba poo maana kazidiwa. Sasa swali likaja kapewa nafasi ya mazumgumzo halafu anagoma tena? Unatoa masharti?
Aliomba mazungumzo ..Russia akasema yafanyikie Belarus... Ukraine amegoma kufanyia Belarus...anataka sehem nyingine.. deadline aliyoitoa Russia ndo imeexpire saa moja lililopita..maana yake Sasa Russia hahitaji mazungumzo tena Bali kuondoa madarakan utawala wa zelensky...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…