Wamekubali kwenda BELARUS mazungumzo yanaanzaAliomba mazungumzo ..Russia akasema yafanyikie Belarus... Ukraine amegoma kufanyia Belarus...anataka sehem nyingine.. deadline aliyoitoa Russia ndo imeexpire saa moja lililopita..maana yake Sasa Russia hahitaji mazungumzo tena Bali kuondoa madarakan utawala wa zelensky...
Putin anafeli wapi huyu kiukraine kinamtoa jasho la mbupu ndo atawaweza nato akiwa na baba yao USA ndo maana analialia hataki nchi zaidi ziingie nato maana anajua ataisha mapema halaf eti ndo ana ndoto za kurudisha soviet union atabaki na ndoto hiyo mpaka anakufaMji usharudi mikononi mwa Ukraine... [emoji3]View attachment 2133059
Wamekubali na wamesogea BelarusNisichoelewa ni kwann agomee maelekezo ya mbabe wake na yeye kumpa masharti wakati yeye ndo aliomba asikilizwe na kazidiwa.
Russia amalizie tu kilichompeleka maana hapa sasa yataanza maigizo ya mazungumzo alipochagua huyu kuna baridi twendeni kwenye joto n.k
Unless kama russia anataka sababu ya kusitisha mapambano
Muongo mkubwa wewe acha uongo broo!!Wamekubali na wamesogea Belarus
source ya habari yako?Hao Ukraine wameanza ubaguzi wa rangi
Mtu mweusi anashushwa kwenye Train huko
Yaani bora watembee kwa miguu tu sasa
Acha Putin awasulubu hao Eastern Europe
Hakuna kuwahurumia kuanzia sasa mwenye damu na aelewe
Yaani ile Ukraine ipo humu. Na mipango yote na mikakati naona wapo wana JF humu wanatoa matamko kwa niaba ya Russia na Ukraine. Wanatujulisha hata yatakayofanyika Keshi.Vita ni kali sana hapa JF, pressure inapanda na kushuka. Vita ni kali kuliko hata kwenye real ground pale Ukraine. Watanzania twendeni mdogo mdogo
Source ya taarifa yako iko wapiWamekubali na wamesogea Belarus
Hapo Kama unasoma gazeti la Uhuru. watu wamechukuwa mji mchana huu wewe unaongelea usiku.Mji usharudi mikononi mwa Ukraine... [emoji3]
Ok.. Ngoja tusubiri matokeo ya mazungumzo.😃😃Wamekubali na wamesogea Belarus
Trust me Putin hatoboi,Putin anafeli wapi huyu kiukraine kinamtoa jasho la mbupu ndo atawaweza nato akiwa na baba yao USA ndo maana analialia hataki nchi zaidi ziingie nato maana anajua ataisha mapema halaf eti ndo ana ndoto za kurudisha soviet union atabaki na ndoto hiyo mpaka anakufa
Nimesoma hapa sasa uongo wa nini mzee? Mimi niko Huko mpaka nijitungie stori?Muongo mkubwa wewe acha uongo broo!!
Wakati kuna wabongo shazi wako kwenye treni.. na akitaka video niitume [emoji3]source ya habari yako?
Atengeneze msingi wa swali lake kwanza ndipo tumjibu.Details huzioni hapo JF member @frustation anazimwaga au?
Ohooo. Kama umelishwa tango pori sasa na wengine unatupa kama lilivyo.Nimesoma hapa sasa uongo wa nini mzee? Mimi niko Huko mpaka nijitungie stori?
trust me now, Putin anatoboaTrust me Putin hatoboi,
Mji usharudi kwa wenye nao,Hapo Kama unasoma gazeti la Uhuru. watu wamechukuwa mji mchana huu wewe unaongelea usiku.
Anaangalia kama yanafanya kazi vizuri, Yasije yakawa yameoza.Dhumuni la North korea ku'test Kombora dogo inaweza kuwa ni nini ?
Okay.. ngoja tuone ndugutrust me now, Putin anatoboa