Usichanganye balistiki missile na hypersonic missile mkuu.balisti Marekan anazo hypersonic zipo kwenye majaribio.NATO hawana ballistic missiles katafiti vizuri ninahakika Marekani ndo anaendelea kuziendeleza lakini bado hawajafanikiwa.no research no right to talk.
Hadi umehamia kwa Millard kuleta updates,ama kweli wa Russia wa Mama Samia mmevurugwaRussia asha naza kutoa mlio. anatishia nyuklia😂View attachment 2133242
Mbona kama ni mjeshi wa Urussi?21+ hours passed huyu mtu hana wa kumwamisha baada ya kifo chake[emoji30][emoji24] inahuzunisha sanaView attachment 2131399View attachment 2131400
Haya mambo hayajitaji mahaba au utimu bali yanahitaji wachambuzi wa masuala ya kimataifa na jana nilibahatika kuwasikiliza na miongoni mwa waliyoyazungumza ni haya: Hakuna ambaye anayekataa kuwa Russia ni nchi yenye nguvu kijeshi. Kwenye hii vita ameingia na zana za kawaida za silaha.Leo urussi walikua wanachukua mji wa pili wa khirviv Sasa ghala wakarusishwa nyuma ukiangalia huku Kuna vikwazo kama vyote anachofanya Putin ni scare tactics baada ya mambo kuwa magumu yeye alijua ataenda ndani ya siku mbili kazi imeshaisha nilisema mwanzan hakuna vita rahisi
Ukiachana na mashambulizi ya ndege na mizinga, Urusi ni alshab waliochangamka.
Bro mi ni pro westHadi umehamia kwa Millard kuleta updates,ama kweli wa Russia wa Mama Samia mmevurugwa
Kwani kuna watu wamezuia kuzitoa kama wanazo,unadhani hizo slaa za nyukria zilitengenezwa ziwe mapambo??.,zilitengenezwa zitumike na ipo Sikh zitatumika iwe Leo au kesho.Utakuwa na tatizo la akili kama Putin.
Yani unaona sawa hizo silaha kuanza kusogezwa bila kutazama consequences zake kwa mustakabali wa dunia yote. Taifa gani Ulaya na magaharibi hawana hizo silaha? Wakisema wote wazitoe patakalika?
Acha kuwa na mawazo ya kibinafsi kama ya Putin.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naacho omba ni Uncle Sam aingilie katiHaya mambo hayajitaji mahaba au utimu bali yanahitaji wachambuzi wa masuala ya kimataifa na jana nilibahatika kuwasikiliza na miongoni mwa waliyoyazungumza ni haya: Hakuna ambaye anayekataa kuwa Russia ni nchi yenye nguvu kijeshi. Kwenye hii vita ameingia na zana za kawaida za silaha.
Wachambuzi wanachohofia ni kuwa: kinachopiganwa sasa hivi ni urban warfare ambayo hii haiangalii nguvu za kijeshi wala teknolojia, ni vita ngumu mno. Ikiwa Urusi malengo yake ya kimkakati akiona hayatimii kwa muda aliyojiwekea itamlazimu atumie nguvu kubwa aliyokuwa nayo! ikiwa akifanya hivi itakuwa ni maafa kwa sababu itakuwa ni maafa kwa miundombinu, raia wa Ukraine na kwa wanajeshi pia na mji unageuzwa unakuwa gofu.
Tunachotakiwa ni kuomba malengo yake ya kimkakati yatimie Ukraine ijapokuwa kwa sasa sehemu kubwa ya miji ameshaiteka na amefanikiwa kuteketeza kambi na ghala za kuhifadhia silaha za Ukraine 200+ na hii imesaidia kuwapunguza Ukraine nguvu.
We unaongea nini kuna nchi yenye technologia na inteligencia kama Russia?Akili za kijamaa shida sana, Putin bado anawaza kijamaa sana...miguvu miingi akili kidogo, wenzie wamewekeza kwenye teknolojia na intelenjia...Kaanchi kama Ukraine ambako unaborder nako mpaka ukavamia na mivifaru na midege?..
Angekuwa na akili za kibeberu aka kibepari hiyo Ulaya mashariki yooote ingekuwa na umoja wao na yeye ndiye angekuwa baba lao with full power angekuwepo mpaka kule Yugoslavia, Bosnia, Albania, Moldova, Uzbeg, Tajigi kwa wanangu, nk sasa amebaki mwenyewe na ubabe mavi anatumia miguvu...
Bado hoja ni dhaifu mkuu kwamba Russia ndo amewatoa kafala wanajeshi wake?huo ndio uwezo wake afu Russia ndo ya kutishia Ukraine Nuklia?Haya mambo hayajitaji mahaba au utimu bali yanahitaji wachambuzi wa masuala ya kimataifa na jana nilibahatika kuwasikiliza na miongoni mwa waliyoyazungumza ni haya: Hakuna ambaye anayekataa kuwa Russia ni nchi yenye nguvu kijeshi. Kwenye hii vita ameingia na zana za kawaida za silaha.
Wachambuzi wanachohofia ni kuwa: kinachopiganwa sasa hivi ni urban warfare ambayo hii haiangalii nguvu za kijeshi wala teknolojia, ni vita ngumu mno. Ikiwa Urusi malengo yake ya kimkakati akiona hayatimii kwa muda aliyojiwekea itamlazimu atumie nguvu kubwa aliyokuwa nayo! ikiwa akifanya hivi itakuwa ni maafa kwa sababu itakuwa ni maafa kwa miundombinu, raia wa Ukraine na kwa wanajeshi pia na mji unageuzwa unakuwa gofu.
Tunachotakiwa ni kuomba malengo yake ya kimkakati yatimie Ukraine ijapokuwa kwa sasa sehemu kubwa ya miji ameshaiteka na amefanikiwa kuteketeza kambi na ghala za kuhifadhia silaha za Ukraine 200+ na hii imesaidia kuwapunguza Ukraine nguvu.
[emoji769]NATO wangemuwai wakamgonya nyuklia bihashara ikaisha. Kwa nn? Putin asumbue watuWatu wa ukumbi huu muda mrefu naona kimya sijaona thread ya mashambulizi ya russia dhidi ya Ukraine hapa, kama Russia ameamua kusimamisha vita kutoka na ugumu wa Kiev pia andikeni hapa tujue mana wako waliosema Russia ndio baba wa ulimwengu kwamba silaha anatengeneza mwenyewe na hakuna wa kumzia Putini, regarded leo ni siku ya 4 vita lakini bado Zelensky anatamba katika miji ya Kiev ikiwemo ile kauli yake ya maadui hawataona migongo yetu bali nyuso zetu.
Kuna tetesi Russia ana wakati mgumu sana kiev emu leteni hizi taariza hapa tuone, mana leo asubuhi nimesoma kwenye Televishen moja yanapita haya maneno "Pentagon denies Russia's calim that it's "highly likely" US used surveillance drones to help Ukranian Navy".
Natanguliza shukurani
Hapa ndo tujifunze madhara ya kumpa mtu Mmoja madalaka makubwa.I was wrong about putin sikujua ni mshamba ivi
Bro ivi naweza pata angalau notification Kila unapo koment maana unachuja habari Kwa usawa bila mahaba .Mkuu silaha za Czech Republic sidhani kama zimefika wala kutumika. Hata za Poland zimetolewa jana zitakuwa zimeanza kutumika leo, Urusi wakitoa taarifa hawatoi evidence. At least Ukrainians wanaonesha video clips na picha sometimes.
Ikitokea any International community kama Red Cross ndio tutapata angalau picha ya nani ana casualties nyingi. Russia anaonesha weakness moja kubwa ni supplies na logistics. Akienda frontline harudi nyuma kwahiyo maiti na majeruhi wako uko uko. Hata resupply ya ammunition na chakula hana, wala hatengenezi corridors au pockets kwamba atakuwa anazileta hapo. Hajasecure supply lines maroli ya jeshi yakipita mitaani yanapigwa ambush na raia. Russia vita wameingia juzi ila washaanza kuwa exhausted na walijipanga miezi kibao. Nasema hivi kwa kuwa nalinganisha advancement ya juzi, jana na leo naona washachoka wakati Ukraine ndio wanazidi kupata nguvu. Sijui kama niko sahihi
NB: Wale wanaosema kuhusu Ghost of Kyiv na kills zake dhidi ya Russian Airforce sijathibitisha popote kwahiyo mpaka sasa nauita ni uzushi. Jikinge dhidi ya fake news na propaganda
Haya mambo hayajitaji mahaba au utimu bali yanahitaji wachambuzi wa masuala ya kimataifa na jana nilibahatika kuwasikiliza na miongoni mwa waliyoyazungumza ni haya: Hakuna ambaye anayekataa kuwa Russia ni nchi yenye nguvu kijeshi. Kwenye hii vita ameingia na zana za kawaida za silaha.
Wachambuzi wanachohofia ni kuwa: kinachopiganwa sasa hivi ni urban warfare ambayo hii haiangalii nguvu za kijeshi wala teknolojia, ni vita ngumu mno. Ikiwa Urusi malengo yake ya kimkakati akiona hayatimii kwa muda aliyojiwekea itamlazimu atumie nguvu kubwa aliyokuwa nayo! ikiwa akifanya hivi itakuwa ni maafa kwa sababu itakuwa ni maafa kwa miundombinu, raia wa Ukraine na kwa wanajeshi pia na mji unageuzwa unakuwa gofu.
Tunachotakiwa ni kuomba malengo yake ya kimkakati yatimie Ukraine ijapokuwa kwa sasa sehemu kubwa ya miji ameshaiteka na amefanikiwa kuteketeza kambi na ghala za kuhifadhia silaha za Ukraine 200+ na hii imesaidia kuwapunguza Ukraine nguvu.
Wewe ambaruti huna unachojuaguy, nato Kashinda kwenye hii vita bila hata kurusha risasi moja.
walichofanya nchi za Nato ni kutoa msaada kidogo tu wa silaha kwa Ukraine na kumwekea SANCTIONS za kutosha Urusi.
na SANCTIONS hazijaanza kunga'ta ipasavyo tumeona Kashaanza tishia Nuclear.
dingi alikurupuka na sasa kaumbuka kuwa ni Chai Jaba tu.
na bado sanctions zikianza ng'ata panapo Uma ya Libya yatajirudia ndani ya Urusi.
nipuuze ama ukubali komenti yangu ikumbuke wakati wa kutimia hii prophecy.
Si wamepeleka sirahaMzee sote tunaona. Hakuna upinzani wowote. Na lengo la Putin limetimia. Na amewaonya hao NATO atakayesogeza pua ataanza naye.
Mzee kajichanganyaPut-in hana tofauti na ndugai