LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums

Kachagua vita
 
Nimepata taarifa kikao cha negotion kimeisha huko mpakani mwa Belarus kinachosubiliwa ni nini kilichojiri

View attachment 2134183
Angalia usije ukawa unafuatilia vita kupitia Instagram tena kuna wale wanaitwa Dizzim sijui nini ile account inayopost matako ya kina Nandy. Wale jamaa wananikera sana wanapotosha habari, zimekaa kiudaku
 
Okey.
Hii source ya habari ninayotazama wanasema terms za mazungumzo hazijawekwa wazi bado. Unaweza nipa Link ya source yako?
 
Hayo ma defense systems ni upuuzi usio kuwa na maana..

Hakuna cha kuzuia makombora hapo.
 
Hapa ni kama kijiwe cha kahawa...uongo uongo tu hakuna mwenye habari kamili...much know tu ndio wapo hapa...waombeeni amani maana hamjui kitu
 
Satan 2 tutaitumimia dakika za nyongeza inakwenda kumaliza ubishi wote.
 
Hapa ni kama kijiwe cha kahawa...uongo uongo tu hakuna mwenye habari kamili...much know tu ndio wapo hapa...waombeeni amani maana hamjui kitu
True kwa kiasi kikubwa. Ila kuna watu wapo wanaleta sources za uhakika. Kuwaombea amani ni Jambo la maana sana.
 
Mazungumzo yalifanyika kwenye mpaka wa Belarus kati ya maafisa wa Urusi na Ukraine.

Ni mara ya kwanza wanakutana tangu Urusi kuvamia, lakini matumaini ya kufanikiwa si makubwa.

Kabla ya mazungumzo hayo, Ukraine ilisema inataka kusitishwa kwa mapigano na Urusi kujiondoa, huku Kremlin ikisema haitatangaza msimamo wake.

Wapatanishi wa Urusi wamezungumza kuhusu makubaliano ambayo yana maslahi ya pande zote mbili.

Ujumbe wa Ukraine unajumuisha Waziri wa Ulinzi Oleksiy Reznikov na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Mykola Tochytskyi.

Naibu Waziri wa Ulinzi wa Urusi Alexander Fomin na Balozi wa Urusi nchini Belarus Boris Gryzlov pia ni miongoni mwa waliopo.
 
Akili kubwa inajua hilo. Na mipango ilishawekwa na kuandaliwa 30yrs back.
Silaha za vita huandaliwa wakati wa Amani.
So Russia is prepared with .
 
Okey.
Hii source ya habari ninayotazama wanasema terms za mazungumzo hazijawekwa wazi bado. Unaweza nipa Link ya source yako?
Mkuu no officia recognized source on the impact of their talks...hiyo kuna jamaa mmoja mfaransa nilion tu insta kacomment hivyo kwamba inasemekan moja ya maafikiano aliyowek mezan bwana mkubwa putin ni kustep down kwa rais zelenskyy...hivyo kwa hali iliyopo yawezekana ndo ivyo na ata icho kikao cha pili huenda kisizae matunda na ndio maana ata rais wa ukrain ameamua kusign na kutuma barua EU kuomba uwanachama kamili maana kwa sasahivi ukrain ni partner wa EU na sio member.

Kukiwa na taarif ya source kamili nitaweka kiongoz!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…