Russia ni moja ya supplier mkubwa wa pipi ulaya. Ile ni nchi ya kimafia na putin ni mafia haswaHivi mimi najiuliza sana RUSSIA anapata wapi pesa za kutengeneza hzo nyuklia zote na ana vikwazo kama vyote, anapata wapi pesa?? Russia ni tajir sema propaganda za NATO wanafanya tuone Russia haina kitu.
Russia akitolewa vikwazo vyote atakua hatari sana. Silaha ya mmarekani ni VIKWAZO tu hana mbinu nyingine. Mwisho wake utafika ataanguka tu.
We unadhani kuna taifa duniani halijui uchafu wa USA, shida uwezo wa kwenda nae against hatuna, nani atamfunga paka kengele ndio mtiti huo.Russia alichokifanya ni kuwafumbua macho mataifa mengine waone tabia halisi za wamagharibi hivi vikwazo vinavyowekwa hovyo hovyo vitawafumbua macho mataifa mengine yanayoinukia na baada ya huu mgogoro wataanza kudeal na mbinu za kujadiliana navyo kimyakimya soon tutapata SWIFT mpya, heshima ya fifa itashuka nk
Acha uongo, waandika porojo nyingi halafu huweki hata link yoyote ya habari kusapoti porojo zako.Na china kwenye sakata hili haongei sana maana hataki kumuuzi sana US na wenzie maana anakumbuka kichapo cha kiuchumi alichopewa juzi kati ndo maana anaenda aste aste.
He hivi si mlikuwa umbali mdogo wa km 10 toka Kyiv, nini kimetokea?Kaka ...
By 02 March 2022..
Rais wa Ukraine atakuwa amekimbia na Ukrane itakuwa imechukuliwa na Urusi...
Afu huyo Putin naye mzunguAlways namkabali sana Putin tatizo generation yetu imemezeshwa propaganda za nchi za Magharibi huwa sipendi kumuabudu mzungu hata kidogo
What kind of responsibility?! Otherwise, it's just a bluff!Russia’s foreign ministry has said those supplying lethal weapons to Ukraine will bear responsibility should they be used during Russia’s military campaign there.
The ministry added that the steps the European Union has taken against Russia will not be left without a harsh response.
Labda na wao watawapiga vikwazoWhat kind of responsibility?! Otherwise, it's just a bluff!
Mzee wa NATO ya kimara bonyokwa upo!? 🤣🤣🤣Labda na wao watawapiga vikwazo
Acha porojo, China haijauacha mfumo wa kijamaa, inafuata mfumo mpya wa ujamaaMabepari achana nao ndo maana china waliona ni upumbavu kuendelea na sera za ujamaa maana hazilipi wakaingia kwenye ubepari mazima matokeo yake leo hii China yupo namba mbili kiuchumi. Na china kwenye sakata hili haongei sana maana hataki kumuuzi sana US na wenzie maana anakumbuka kichapo cha kiuchumi alichopewa juzi kati ndo maana anaenda aste aste.
This is very serious, ngoja tuone reciprocal[emoji298]️US declares 12 Russian UN diplomats persona non grata - Russian UN Envoy
Kumbe US ndo ataamua[emoji298]️US will discuss results of Russia-Ukraine negotiations with Kiev - State Dept.
Russia ni moja ya supplier mkubwa wa pipi ulaya. Ile ni nchi ya kimafia na putin ni mafia haswa
Defence system iliyo bora kuliko zote ni ya ISRAELHayo ma defense systems ni upuuzi usio kuwa na maana..
Hakuna cha kuzuia makombora hapo.
Unadanganywa na mchungajj Gamanywa mzee. Tuliza ubongo wako.Defence system iliyo bora kuliko zote ni ya ISRAEL
Russia hataweza kushinda kwa kutumia Jeshi la ardhini, tena hizo Silaha zikifika ndio atakuwa anashambuliwa nyuma, mbele na kulia... Mataifa ya Ulaya yamesharuhusu Raia wake kwenda Ukraine kupigana vita hapo wataingia hadi wanajeshi wa hizo nchiWhat kind of responsibility?! Otherwise, it's just a bluff!
Umelewa kande la kunde lililopikwa kwa shemeji yako na house girl kutoka dodoma. Sasa hivi unatoa ushuzi hapo sebureni.Russia hataweza kushinda kwa kutumia Jeshi la ardhini, tena hizo Silaha zikifika ndio atakuwa anashambuliwa nyuma, mbele na kulia... Mataifa ya Ulaya yamesharuhusu Raia wake kwenda Ukraine kupigana vita hapo wataingia hadi wanajeshi wa hizo nchi
unaota wewe kama wangekuwa na mawazo yako hata iyo NATO isingeundwa na huo Umoja wa ulayaUnaona harakati za Macron?? Yeye sio viongozi vichaa kama BORIS. Jamaa anapenda sana amani. Ujue hii vita sio itatikisa uchumi wa URUSI PEKEE hadi ulaya nzima, huku USA akijikita zaidi kuuza silaha.
Umewahi kujiuliza kwanini vita zote za Dunia zinapiganwa ULAYA??
USA anataka kudominate Dunia zaidi na zaidi kwa mikopo nk. Mpinzani mkubwa wa USA ni CHINA, na China katulia ili nae auze silaha.
Acha tuone mzigo utakavyokuwa, ila nakuhakikishia hii vita ikipiganwa jumla SOUTH AFRIKA atasogea moja ya nchi tajiri duniani. Most of European country watarudi nyuma kiuchumi. Remind you, WWII nchi zote za Afrika hazikuzimejipatia uhuru, hivyo nguvu kazi ilikusanywa hadi huku. Now hakuna nchi itapeleka majeshi yake kusaidia wazungu, Dunia itageuka na uchumi utakua ASIA.
View attachment 2134365