LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Raia 1000 untrained ni sawa na 10 fully trained commandos.

Hapa Lazima raia waumie.
 
Medvedev bado mdogo sana (kwenye masuala mazito) ndo maana amepewa muda ajifunze kazi.

Kumbuka Putin yupo hadi 2034 baada ya kufanya marekebishio kwenye katiba ya Russia.
Alishawai shika urais kabla putin kumpokea tena...
Asee yule mwamba kichwa chake anakijua mwenyewe bora hata putin anafikilia kidogo Medvedev yule kinega sio poa
 

PRO NATO mnaweweseka sana kojoa ulale mtaonea wote ila sio urussi uyo kashindikana. Kama mnajiamin ingieni kati.
 
Leo naona twitter kumepoa sana toka kichapo kianze kutembea zile stori za raia kuiba kifaru zilikua dharau kwa russia. Leo ni kimyaa kama sio Twitter [emoji28][emoji28][emoji28]
Russia keshajua uhuni walionzisha Ukraine, anatumia ndege na missiles TU.

Ukirusha baruti, anarusha bomu.

Hacheki na kima[emoji1787]
 
Binafsi sasa, nahamia upande wa Ukraine kuwaombea msaada. Hiki kichapo cha Urusi sasa naona yuko serious na kazi hii. Kuna mtu nakumbuka alisema URUSI hajatumia silaha za kisasa, na akianza mtaona matokeo yake.
MUNGU WASAIDIE UKRAINE.
Wakati raisi wao mchekeshaji anasema wameshaua wanajeshi 5000 wa urusi[emoji1787][emoji1787]
 
Nikiangalia youtube Urusi anavyo switch makombora alafu yanaenda kutua kambi za jeshi la Ukreine,na nikikumbuka jeshi letu linavyovunja matofali kwa kichwa nakosa kabisa hamu ya kula ndugu zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…