Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,392
- 9,187
Hamasi wabaya kwa maoni yangu mimi binafsi lakini haizuii wengine kuwaona tofauti. Hata hao Taliban kuna watu wanawapenda.mkuu umeeleza vizuri sana ila hata wewe inaonesha ni mhanga wa propaganda za magharibi, unawezaje kusema hamasi ni wabaya unaweza kuthibitisha hili?
Kumekucha sasa,Kiev ishakuwa majivu Mkuu? Wengine hatuna access na TV tunawategemeeni mtupe update za uhakika.Nahofia sana maisha ya raia wa Ukraine waloambiwa na Russia wakimbie ili amalize kazi Kyiv na wameamua kubakia kupigana.
Majeshi ya Russia yameingia rasmi Kyiv vikibakia vitongoji vichache.
Usiku wa leo ni usiku wa kiza kwa Ukraine.
Kama Syria ilivoharibiwa ndivyo itavyokuwa usiku wa leo Ukraine.
Russia imepanga kulipua makao makuu ya ujasusi ya Ukraine pamoja na mifumo yake yote na kisha kuyalaza majengo yote ya wizara ya ulinzi ya nchi hiyo.
Hii Chai haina sukariView attachment 2135789wanakwambia mtoto akililia wembe mpe naam urusi ilikuwa inatumia silaha za kawaida mno basi jana putin kaamua kutumia silaha za kiutu uzima angalieni raman ya urusi ilivyo ongezeka kwa ghafla hicho ni kipigo cha usiku wa leo tafute video kuna pigo utafirikir limeshushwa bomu la nyuklia ukraine imebaki na kuund propaganda
Au matamshi mbona nimesikia ukrenian peopleMaster wa Komedian ameanza kuchachawa huku kichapo ndio kwanza kimeanza atulie hahaha mpaka Amesahau kutaja “Ukrainian” ameita “Iranian”[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
kiev imezungukwa kila upande kuna raia wengi wanabidi watoke kwanza baadhi wanajeshi wa ukraine wanavaa kirai na kura konaMzee wa Kiev imeshakuwa majivu tangu juzi,vipi hebu tupe update
Achana na propaganda za huyu mduanzi.Kumekucha sasa,Kiev ishakuwa majivu Mkuu? Wengine hatuna access na TV tunawategemeeni mtupe update za uhakika.
jana paka ukraine imekir kuwa wajeda wake 70 wamefyekwa kwa mpiga ukweli putin aliwalegezea sana. Putin ni wakutumia bm 21 rocket katyusha za mwaka 1950 huko?Hii Chai haina sukari
Nadhani CNN wamesha ku brainwash hayo mambo ya air cover wewe umeona wapi hawana kweli unataka kuniambia Makamanda wa Russia hawajui vita vinapiganwa namna gani? Kama hawana air cover kwanini Ukraine jana wameomba UK na USA kufunga anga, unajuwa jibu walilopewa? No hatuwezi kufunga anga ni hatari. UK Prime minister tena alimjibu yule mama nakwambia ukweli tu hilo ni gumu kufanya litaleta balaa zaidi. Hivi mnasahahu vita vya Iraq ilikuwa jumuiko kubwa la nchi kuwahi kutokea pamoja na walikuwa superior air power lakini 43 days walipigana.I agree with you humu kuna baadhi ya amateurs wanafanya mtazamo kwa kushabikia nchi fulani. Urusi kaonesha performance mbaya sana ukizingatia anapigana na competitor mdogo. Zile columns za magari ya jeshi zinazoenda bila air cover, kukosa supplies, kupigana bila kwanza kuharibu airforce ya adui na viwanja vyake, etc.
Urusi hajanishawishi kama anaweza wage an all out war with NATO. Hata asipowekewa vikwazo akawa na uchumi uleule na support kubwa kwake ila uwezo wake kwenye field ni hauridhishi. Unapigana na jirani, alafu some of your troops wanakosa mafuta wanatelekeza silaha. Ukisafiri 10,000 km itakuaje si majeshi yanakuwa isolated.
Tatizo la Urusi ni logistics. Vita na Japan napo Urusi ilifeli kufanya mobilization ya wanajeshi na silaha kutoka central na Western kwenda far East. Vita ya kwanza walikuwa poor hivihivi walipigwa na Ujerumani karibia battle zote, ila Ujerumani ya WW1 ilikuwa inapiga hakuna mfano. Vita ya pili ndio walifanya mass production pale Stalin alipodai "Quantity has a quality all its own" wakatoa units nyingi za silaha ila ubora wa kawaida na walishinda kwa hili.
Wanajeshi wa Urusi kufa sana haiwatishi kivile. Vita zao zote huwa wanakufakufa. Nchi inayoogopa zaidi wanajeshi kufa ni Israel
kwanini wasiingilie kati na waliapa kuingilia kati kijeshi? Nato walimuogopa ayatullah wa iran ndo wamvagae mrusi?Achana na propaganda za huyu mduanzi.
Kama Ukraine inaisumbua Russia,kama NATO ikiingilia kati Warusi wangeomba poo .Sanasana Putin atakimbilia KuActivate Nuclear,mikwara ya kizamani!
Umeshindwa kujibu hoja yake umekimbilia mipasho,nilitegemea upangue hoja yake aliyokuuliza,jeshi zima la Rassia lipo Moscow kutokana na umbali wa google uliotuletea,hapo ndipo tunaomba ushushe nondo zako,achana na maneno ya reja reja Mkuu.PRO NATO mnaweweseka sana kojoa ulale mtaonea wote ila sio urussi uyo kashindikana. Kama mnajiamin ingieni kati.
Hao USA kumtoa Assad syria tu walishindwa. Afhganstan tu pale walipigana mpaka kamasi unadhani vita unatembea tu. Ukraine ni nchi ya pili ukubwa ki size katika eastern Europe. Sasa nitajie vita alivyopigana USA vikaisha wiki 2? NATO miezi mingapi walipigana Libya?Achana na propaganda za huyu mduanzi.
Kama Ukraine inaisumbua Russia,kama NATO ikiingilia kati Warusi wangeomba poo .Sanasana Putin atakimbilia KuActivate Nuclear,mikwara ya kizamani!
Tena vimekulia Kinondoni Moscow,bado viko na bahasha mkononi za CV vinahangaika kutafuta kazi huku vinashupaza mishipa ya shingo na porojo za "Urusi anakiwasha huko"Teh teh teh.. vitoto vya moscow bhana
Vita sio best option ukichukulia nchi nyingi zimetoka kupambana na uchumi ulioporomoka sababu ya Covid 19 . Putin ameingia choo Cha kike.Baada ya muda akiendelea na hii mipango yake Russia itakuwa kama North Korea!kwanini wasiingilie kati na waliapa kuingilia kati kijeshi? Nato walimuogopa ayatullah wa iran ndo wamvagae mrusi?
Leta Sukari,hii Chai haina ladha kabisa.Ha ha ha....pro America wameanza kulalamika uko eti Putin anatumia silaha nzito[emoji4]
awezi ingia Putin ameweka wazi NATO akiingia kichwa kichwa unamwaga chugu za Nyukiikwanini wasiingilie kati na waliapa kuingilia kati kijeshi? Nato walimuogopa ayatullah wa iran ndo wamvagae mrusi?
Mkuu unachezaSoma vizuri mkuu, nimekwambia kanusa plan ya Mmarekani na genge lake la NATO. Ikitokea kwa bahati mbaya au kwa kupanga kombora lake moja likaangukia Poland au Lithuania ambao ni wanachama halisi wa NATO, basi Putin na nchi yake watakuwa wakimbizi wa kisiasa huko China. Maana hatoweza kuhimili balaa la hawa jamaa.