LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hawa mafalaa wanafiki sana mamaee zaoo mbwaa hawaaa....faken kabisa!
 
Vita vya kizamani hivyo siku hizi unapigwa mduara basi unapewa notice weka silaha chini maisha yaendelee hakuna vita siku hizi vya kupiga majumba hovyo silaha zina thamani kuliko hilo jumba.
Kwa hiyo yale mabomu yanayopiga majumba ya watu tuseme Wanajeshi wa Russia wanapigana kizamani? Lakini pia tulisoma kuwa Putin aliamuru Nukes ziwe standby,sasa hizo silaha zingetumika matokeo yake yangekuwaje,au na yeye anapigana kizamani Mkuu?
 
Ukrainians are not fighting a war. They are fighting a defending battle for their freedom from an invading dictator.
Putin has attacked Ukraine without declaring war, without casus belli, with the only purpose of annexing the teritory of a free, neutral, democratic country!
 
You see the big boy. Haya NATO na USA waweke majeshi yao itakuwa vita kati ya Russia china na USA NATO hapo sijui itakuwaje. Naona wananchi wanaojaribu kurusha risasi uko Ukraine Majumba yanaharibiwa kabisa utafikiri Syria.



 

Attachments

  • VID-20220302-WA0019.mp4
    12.1 MB
  • VID-20220302-WA0016.mp4
    1.8 MB
Haya matabaka wanayoweka watu wa Europe ndio yanafanya wengi wazidi kuombea mabaya kwa ukraine... Ubaguzi umewajaa watu wa ulaya wanajiona wa muhimu kuliko wengine
Ubaguzi wa rangi wa kujiona wao ndiyo Binadamu wengine nyani tu. Ngoja the big boy awaonyeshe kazi.
 

Attachments

  • VID-20220302-WA0015.mp4
    5.8 MB
Unaandika comment hiyo ukiwa maeneo yapi!? Kwatumbo au kwamtogole!?
 
Nawapa mbinu ya medani Ukraine,wagawanyike kwenye vikosi vidogo vidogo vya watu wasiozidi 30 na watawanyike mitaa ya mijini wakiwa na silaha za kawaida achana na mavifaru..

Wawaache Russia waingie mjini na migari yao nk ,sasa inayobakia ni ambush na gorrila war huku wakiungwa mkono na Raia wao.

Watawamaliza hao pimbi wa Russia na kuyatia moto magari yao maana ukimiminiwa risasi huwezi kimbia na hayo magreda na makatapila..

Simple as that,ila wakijidanganya kujitundika kwenye battalion za watu wengi ndio hivyo ni rahisi kuwa identified na Warusi na kushambuliwa kwa mabomu na kuuwawa kwa wingi kama Jana wameuwawa wanajeshi 70 at par..

Hiyo mbinu hapo juu ni ngumu kwa Russians na ni mapambano ya Usiku mitaani.
 
Kama movie eeehhh haya bwana wamekusikia watatekeleza boss..
 
you nailed it
 
are you foolish ! Putin kawaonya mara ngapi kawasihi mara ngapi kuhusu hatua wanazotaka kuchukua kujiunga na Nato?, Kasogeza jeshi mpkani kwa kuonyesha usiriasi bado wanaleta kiburi, Ukraine ndo wametangaza vita kwa kukiuka makubaliano na Urusi kwanin alete adui mlangoni kwake,
Ungekuwa unamiliki hata nyumba ungeelewa kinachoendelea, yani we una mali nyingi alafu jirani yako analeta wahalifu kwake fika unajua lazima target uwe ni wewe ivi uyo jirani yako utamwacha umkenulie meno

Bora wa mbali maana utamuona uyo adui akija ata jirani yako atakuambia namuona adui yako anakuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…