LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Boris Johnson wa Uingereza asema hakuna nchi yoyote ya NATO inayofikiria kuseti No-fly zone (kuzuia ndege kuruka) ktk anga la Ukraine. Kwani kufanya hivyo kutapelekea vita kati ya Russia na NATO. Hayo kajibiwa Zelensky baada ya kuomba msaada huo kwa NATO ili kuzuia mashambulizi ya anga yafanywayo na jeshi la Russia

View attachment 2135776
Hawa mafalaa wanafiki sana mamaee zaoo mbwaa hawaaa....faken kabisa!
 
Vita vya kizamani hivyo siku hizi unapigwa mduara basi unapewa notice weka silaha chini maisha yaendelee hakuna vita siku hizi vya kupiga majumba hovyo silaha zina thamani kuliko hilo jumba.
Kwa hiyo yale mabomu yanayopiga majumba ya watu tuseme Wanajeshi wa Russia wanapigana kizamani? Lakini pia tulisoma kuwa Putin aliamuru Nukes ziwe standby,sasa hizo silaha zingetumika matokeo yake yangekuwaje,au na yeye anapigana kizamani Mkuu?
 
Ukrainians are not fighting a war. They are fighting a defending battle for their freedom from an invading dictator.
Putin has attacked Ukraine without declaring war, without casus belli, with the only purpose of annexing the teritory of a free, neutral, democratic country!
 
Tatizo watz tuna ujuaji wa kinonko sana.

Urusi ikiamua itaivamia Ukraine na Marekani hatofanya chochote zaidi kulialia na kuweka vikwazo.

Marekani na vibaraka wake wangekuwa na nia ya kweli kuisaidia Ukraine wangeisadia kukomboa majimbo mawili yanayo shikiliwa na waasi.

Inashangaza eti jeshi ambalo limeshindwa na kukundi cha waasi chenye wapiganaji wasiozidi 50,000 eti kije kukabiliana na moja wapo ya jeshi kubwa duniani.

Iwapo vita itatokea nakuhakikishia jeshi la Ukraine halitaweza kuhimili nguvu ya jeshi la Urusi hata ndani ya wiki mbili.
You see the big boy. Haya NATO na USA waweke majeshi yao itakuwa vita kati ya Russia china na USA NATO hapo sijui itakuwaje. Naona wananchi wanaojaribu kurusha risasi uko Ukraine Majumba yanaharibiwa kabisa utafikiri Syria.

IMG-20220302-WA0022.jpg


IMG-20220302-WA0023.jpg
 

Attachments

  • VID-20220302-WA0019.mp4
    12.1 MB
  • VID-20220302-WA0016.mp4
    1.8 MB
Haya matabaka wanayoweka watu wa Europe ndio yanafanya wengi wazidi kuombea mabaya kwa ukraine... Ubaguzi umewajaa watu wa ulaya wanajiona wa muhimu kuliko wengine
Ubaguzi wa rangi wa kujiona wao ndiyo Binadamu wengine nyani tu. Ngoja the big boy awaonyeshe kazi.
 

Attachments

  • VID-20220302-WA0015.mp4
    5.8 MB
Ukrainians are not fighting a war. They are fighting a defending battle for their freedom from an invading dictator.
Putin has attacked Ukraine without declaring war, without casus belli, with the only purpose of annexing the teritory of a free, neutral, democratic country!
Unaandika comment hiyo ukiwa maeneo yapi!? Kwatumbo au kwamtogole!?
 
Nawapa mbinu ya medani Ukraine,wagawanyike kwenye vikosi vidogo vidogo vya watu wasiozidi 30 na watawanyike mitaa ya mijini wakiwa na silaha za kawaida achana na mavifaru..

Wawaache Russia waingie mjini na migari yao nk ,sasa inayobakia ni ambush na gorrila war huku wakiungwa mkono na Raia wao.

Watawamaliza hao pimbi wa Russia na kuyatia moto magari yao maana ukimiminiwa risasi huwezi kimbia na hayo magreda na makatapila..

Simple as that,ila wakijidanganya kujitundika kwenye battalion za watu wengi ndio hivyo ni rahisi kuwa identified na Warusi na kushambuliwa kwa mabomu na kuuwawa kwa wingi kama Jana wameuwawa wanajeshi 70 at par..

Hiyo mbinu hapo juu ni ngumu kwa Russians na ni mapambano ya Usiku mitaani.
 
Nawapa mbinu ya medani Ukraine,wagawanyike kwenye vikosi vidogo vidogo vya watu wasiozidi 30 na watawanyike mitaa ya mijini wakiwa na silaha za kawaida achana na mavifaru..

Wawaache Russia waingie mjini na migari yao nk ,sasa inayobakia ni ambush na gorrila war huku wakiungwa mkono na Raia wao.

Watawamaliza hao pimbi wa Russia na kuyatia moto magari yao maana ukimiminiwa risasi huwezi kimbia na hayo magreda na makatapila..

Simple as that,ila wakijidanganya kujitundika kwenye battalion za watu wengi ndio hivyo ni rahisi kuwa identified na Warusi na kushambuliwa kwa mabomu na kuuwawa kwa wingi kama Jana wameuwawa wanajeshi 70 at par..

Hiyo mbinu hapo juu ni ngumu kwa Russians na ni mapambano ya Usiku mitaani.
Kama movie eeehhh haya bwana wamekusikia watatekeleza boss..
 
I agree with you humu kuna baadhi ya amateurs wanafanya mtazamo kwa kushabikia nchi fulani. Urusi kaonesha performance mbaya sana ukizingatia anapigana na competitor mdogo. Zile columns za magari ya jeshi zinazoenda bila air cover, kukosa supplies, kupigana bila kwanza kuharibu airforce ya adui na viwanja vyake, etc.

Urusi hajanishawishi kama anaweza wage an all out war with NATO. Hata asipowekewa vikwazo akawa na uchumi uleule na support kubwa kwake ila uwezo wake kwenye field ni hauridhishi. Unapigana na jirani, alafu some of your troops wanakosa mafuta wanatelekeza silaha. Ukisafiri 10,000 km itakuaje si majeshi yanakuwa isolated.

Tatizo la Urusi ni logistics. Vita na Japan napo Urusi ilifeli kufanya mobilization ya wanajeshi na silaha kutoka central na Western kwenda far East. Vita ya kwanza walikuwa poor hivihivi walipigwa na Ujerumani karibia battle zote, ila Ujerumani ya WW1 ilikuwa inapiga hakuna mfano. Vita ya pili ndio walifanya mass production pale Stalin alipodai "Quantity has a quality all its own" wakatoa units nyingi za silaha ila ubora wa kawaida na walishinda kwa hili.

Wanajeshi wa Urusi kufa sana haiwatishi kivile. Vita zao zote huwa wanakufakufa. Nchi inayoogopa zaidi wanajeshi kufa ni Israel
you nailed it
 
Ukrainians are not fighting a war. They are fighting a defending battle for their freedom from an invading dictator.
Putin has attacked Ukraine without declaring war, without casus belli, with the only purpose of annexing the teritory of a free, neutral, democratic country!
are you foolish ! Putin kawaonya mara ngapi kawasihi mara ngapi kuhusu hatua wanazotaka kuchukua kujiunga na Nato?, Kasogeza jeshi mpkani kwa kuonyesha usiriasi bado wanaleta kiburi, Ukraine ndo wametangaza vita kwa kukiuka makubaliano na Urusi kwanin alete adui mlangoni kwake,
Ungekuwa unamiliki hata nyumba ungeelewa kinachoendelea, yani we una mali nyingi alafu jirani yako analeta wahalifu kwake fika unajua lazima target uwe ni wewe ivi uyo jirani yako utamwacha umkenulie meno

Bora wa mbali maana utamuona uyo adui akija ata jirani yako atakuambia namuona adui yako anakuja
 
Back
Top Bottom