LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hii chai ulisahahu kuweka sukari,imekuwa chungu mno Mkuu.
 
So ile operation ya masaa 24 sasa hivi itakuwa ya mwezi mzima kwakuwa Kyv ina watu wengi si ndiyo Mkuu.
Mkuu nani alisema itakuwa operation ya masaa 24?? Weka hapa hiyo statement. Nilivyomsikia Putin alisema wataenda kulinda watu pale DONBAS Region, hiyo ndio operation yao maalum.
 

Shida yako unataka uone kyiv iwe majivu? [emoji28]
 
IKo hiviii, Urusi kwenye vita hii haiko peke yake. Nchi zote zenye ugomvi na mataifa ya magharibu ni wadau muhimu kwenye vita hii. Nchi zote ambazo zinanyonywa na nchi za magharibi ni wadau kwenye vita hii, nchi zote zilizowahi kutawaliwa na mataifa yanayounda NATO ni wadau kwenye vita hii.

Ikumbukwe kuwa kinachotafutwa hapa ambacho Urusi inakipigania ni kuzuia Marekani na mataifa yanayounda NATO kuweza kuwa na uwezo wa kujiamulia chochote kwenye dunia hii. Anaeona Urusi anakosea ni nchi za NATO na Marekani wenye ajenda yao ya muda mrefu na ya kudumu. Nchi za Kiafrika lazima zimuunge mkono Urusi na nafahamu zinafanya hivyo kimyakimya kuepuka kunyimwa misaada na mabeberu.
 
Duh, nimekula ban huko twitter. Yaan ukicomment vibaya kuhusu UKRAINE unakula mua.
Ikiwezekana wakupe permanent ban kabisa 🙂. Nenda kwa Putin mkaanzishe Twitter yenu huko mcomment kwa uhuru,au mambo ya maendeleo hamna habari nayo mko busy na masilaha ya Nyuklia peke yake,halafu mnataka kuja kutumia uvumbuzi wa wenzenu kuwatole povu.
 
Hawezi!

Kwa sababu kila mtu anajua consequences zitakazotokea. Njia pekee ambayo ni salama ni Ukraine akubaliane na masharti ya Mrusi, awe neutral.
Akiwa neutral ndo anavamiwa pale Mrusi akijisikia kuivamia Ukraine
 
Propaganda zimewaathiri sana watu humu. Utumwa wa kifikra utumwa mbaya mno!
Wakati mdogo nilkuwa naamini kabisa Iddi Amin ana kichwa cha nyoka usiku na pia anachinja watoto zake anaweka kwenye fridge na hata mkewe akimtamani anamchinja na kumla. Joka. kuja kuwa mkubwa na kujuwa ukweli kumbe jamaa alikuwa na watu wengi tu wanampenda.
 
Sasa mkuu unaamini ulikuwa unatoa hoja nzito nzito za kueleweka bado wakapiga kofuli?
Ndio, unajua ukichangia mada kwa kiingereza inakuwa rahisi kuwa detected. Mi nilikuwa nadeal na CNN, BBC, REUTERS nk wakipost kitu na kama nimeona wazi hii ni propaganda huwa nashindilia comment huku nikimaalizia kuunga mkono URUSI wazidi kuifumua UKRAINE.
 
Kuna jamaa nipo naye hapa kijiweni ametujulisha habari za ndani ndani kabisa , Putin anafunga mahesabu Ukraine wiki hii anaendelea mbele kuichukua na Finland🐒
Muongezee Birika la kahawa mkuu,mpatie na kashata sinia zima awe anashushia,Bill yote kwangu 😂
 

Mzee tatizo umekuja na ushabiki mkubwa na ushabiki unatabia ya kuondoa reasoning, hebu jiulize kwa nini Russia haikutumia nguvu sana mwanzoni kama inavyotumia sasa? Umeskia upinzani wowote kwa mashambulizi ya jana?

Leo camera zote zinaonyesha maafa tu yaliyotokea jana na hakuna resistance yoyote ya jeshi la Ukraine. Ukraine walifanya huo upinzani pale ambapo uvamizi haukua mkubwa ila kwa sasa Russia wamekua serious na operation yao hamna upinzani wowote Ukraine wenyewe wako kimya kila sehemu kunashambuliwa.

Hiyo akaunti ya twitter ilikua inajaza propanganda za Ukraine kuonyesha kwamba Russia wamezidiwa leo wenyewe wanatangaza sehemu zinazoshambuliwa na kuwaasa watu watafute nearest shelter.

Kwa mtazamo wako nguvu ya kijeshi kama hii ingetumika kuanzia mwanzo wa vita hii unafikiri leo Ukraine ingekua hatua gani? Wanajeshi wa Ukraine wako wapi kuonyesha upinzani waliokua wanaounyesha juzi?


View attachment 2136135View attachment 2136136
 

Attachments

  • Screenshot_20220302-104656.jpg
    57.1 KB · Views: 13
NATO iwe mara ngap mlangoni mwa Russia , Russia anatumia hiyo iwe sababu ya yy kuizuia Ukraine kujiunga NATO ila in reality ana sababu zake zakiuchumi na sio sababu za kiusalama kama anavyojigamba hadharani , Latvia na Estonia ji majirani wa Russia ila pia ni members wa NATO ila Russia did nothing to stop them from joining NATO
 
⚡️ Ukrainian delegation yet to arrive for negotiations with Russia (Sputnik citing source)

Negotiations between Russia and Ukraine will reportedly still take place - while the time has not yet been determined, it may be Wednesday evening. (RIA Novosti)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…