Hapa ndugu zetu warusi itagharimu maisha vijana wao ambao wako front, humu ndani wachangiaji wengi hawaijui principles za medani zaidi yakuwa na mahaba kwa Putin na jeshi lake. Military supply kwenye uwanja wa medani ni kitu muhimu sana ambapo mara nyingi unafanikiwa kama ukipata air superiority yaana kuharibu air defence system ya adui yako, urusi ilijua itamaliza vita mapema kumbe Ukraine sio wezembe wamekata supplies kwa kuharibu barabara kwenye baadhi ya maeneo, Kuna baadhi ya convoys zimeshambuliwa na kuharibiwa vibaya, vijana wa Ukraine wengina wanatumia guerrilla warfare strategy kuharibu military hardware za urusi ndio maana urusi wameanza kurusha makombora kutokea black sea kama fire support