LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Nyamizi mbona wakata tamaa mapema hivyo na kukubali uhalisia wa mambo kuwa kichapo chatembezwa na majeshi ya Russia Ukraine?
Habari ya Russia kuipiga Ukraine wala siyo habari,habari ni jinsi Ukraine (under Dog) alivyojitetea kwa siku zote hizi kwenye Battle Field mbele ya the so called Super Power kwenye maswala ya Kivita. Haya malizeni mbwembwe zenu mkahangaike na Vita ya akili mliyopigwa huko,mtabeba hayo madafu yenu hadi migongoni kwenda kununua mkate.
 

Hzo ni biti tu russia maisha yataendelea kama kawaida na vikwazo vitalegezwa uzuri sahv mataifa mengi yameanza muunga mkono russia.
 
Hiyo inaitwa Electronic jaming system wamezijam afu wakazizamisha rubani hawakua na uwezo wa kuzicontrol ndege zao
 
Hzo ni biti tu russia maisha yataendelea kama kawaida na vikwazo vitalegezwa uzuri sahv mataifa mengi yameanza muunga mkono russia.
Hata akiungwa mkono na mataifa yote Duniani bila uwepo wa USA na Nchi za Ulaya zenye nguvu kiuchumi ambazo anazitegemea zaidi kibiashara ni kazi bure kwake,hilo analijua vizuri sana Russia,huoni hadi rafiki yake kipenzi amemute kupiga kura kaishia ku abstain kama Tanzania,kwa nini hakupiga kura ya moja kwa moja kupinga pale UN?
 
Upepo unabadilika kwa kasi sana. 90% of Asia inamsapoti Putin, 80% of Africa ipo kwa Putin. Wakenya ndio wanajikomba komba.

Mataifa mengi yamejua tatizo lipo wapi na chanzo ni nani wa mgogoro. Even European wamesema they need russia kwenye uchumi. Katika nchi zote za NATO nimekubali rais wa france hyu jamaa hajaongea shit yyte
 
Kuna waliozingirwa na wananchi ikabidi wasimame,
 
Na China kwanini haikuweka wazi msimamo wake kwa Russia?
Hatuna shaka na mshirika wetu China, huko kukaa kimya ni ishara ya kupinga hoja ya kuilaani Russia iliyokuwa yapigiwa yatafuta uungwaji mkono. Zipo nchi nyingi tu zimefanya hivyo.


BTW twaendelea kufanya biashara na China

 
Apinge kwani inamuhusu nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…