LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
ofcoz hutegemei statement tofauti na hiyo ingawa china nae anajua tu recent russian moves in ukraine and belarus pamoja na yale maandamano ya kazakhstan yalimlenga yy kwa namna flan kufuatia ile project yake ya BRI ambayo ni km inamreplace russia as a dominant power kwe eneo la EURASIA....russia is not happy na kwa miaka mingi yy amekua dominant power eneo lile but now there is china ambae anaanza kudominate economic issues energy issues na sasa ht kuwauzia wale jamaa wa central asia silaha bidhaa ambayo wamekuwa wakinunua russia tu miaka yote, pamoja na huo urafiki ambao unaongelewa sana but hawa jamaa wapo kwe game kali kati ya wao kwa wao hasa central asia, dunia imechangamka
 
Ila watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1373]
 
hii miji ya pembeni karibu na blacksea kuilinda ni ngumu sio ajabu sn mji huo kuanguka mapema, issue ni kharkiv na kiev ingawa nayo itaanguka tu but atleast kuna mazingira ya kuresist
Acha porojo mkuu, Kharkiv ni mji mkubwa wa pili baada ya Kyiv. Na mpaka umeanguka majeshi ya serikali yamepambana mpaka dakika ya mwisho. Halafu wewe waleta ngonjera zako kwamba mji umeanguka kirahisi rahisi tu.

Si wangeuachia toka siku ya kwanza basi? Mpaka wamepewa mkong'oto wa maana kwa wiki nzima ndio wauachie!

Serikali yoyote duniani huwa haipo tayari kupoteza sio mji mkuu wa pili tu hata kijiji ktk ardhi yake.

 
Your browser is not able to display this video.

Perhaps this is the first video from the Gostomel airport after the start of the fighting. Burning MRIYA in the hangar
 
Head of the National Defense Control Center of the Russian Federation Mikhail Mizintsev:

- The Russian Federation evacuated more than 142.5 thousand people from the special operation zone, including 39,661 children.

- The Russian side has created all the necessary conditions for a safe evacuation from Ukraine.

- Ukrainian nationalists are preventing the evacuation of more than six thousand citizens of India, Vietnam and China from Kharkov.

— At checkpoints in the Belgorod region, there are 130 buses ready to take Indian students and other foreigners out of Kharkiv and Sumy.

- A catastrophic situation in the humanitarian field is developing almost on the entire territory of Ukraine.

“More than 300 tons of essential items will be handed over today during 14 humanitarian actions in Kherson, Sumy and Kharkiv regions.

 
Mkuu wewe unaona kuna ukweli hata wa mbali kwa ile comment ya majeshi 10,000 ndani ya Finland na Sweden kutoka Russia [emoji1787]
Nyie mnahangaika kupinga huku jf SI muende Ukraine mkapewe silaha mkakutane na wa Chechens
 
Zilidunguliwa au zilikua znaanguka zenyewe
 
ulioanguka ni kherson mkuu na si kharkiv, weka link ya kuangushwa kwa kharkiv, urusi imeripoti kudhibiti kherson ww hio habari ya kuanguka kwa kharkiv umeipata wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…