LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mtu yeyote anayemshabikia Putin naona ni mjinga. Akipata ufahamu wa nini kitamkosti yeye ataelewa kwamba vita vile japo wanakufa waukraine na warusi lakini na yeye anachangia polepole. Bei ya pipa la crude petrol ni USD 112 at the moment. Pia wanaopigana ni wazalishaji wakuu wa ngano duniani na gesi. Pia yeyote anayezalisha gesi anazalisha mbolea ya kutumia kwenye mashamba. Ukraine anazalisha mbegu za alizeti kwa wingi duniani. Pia anga la ulaya ni no flying zone kwa ndege zote za kiraia za urusi na pia anga la urusi ni no flying zone kwa ndege za kiraia za ulaya na marekani. Hapa maana yake ni kwamba gharama za usafirishaji na usafiri wa anga zitaongezeka mara mbili. Pia gharama za usafirishaji kwenye maji zinatarajiwa kuongezeka kutoka dola za kimarekani 10,000 mpaka 30,000 kwa kontena moja ikiwa hali hii itaendelea. Uturuki imefunga ghuba ya bosphorus brigde maana yake hakuna meli yenye chakula au bidhaa zozote ya kirusi au kiukraine itapita kuingia mediteranian. Wewe mjinga unayeshangilia vita huku ukimlaumu Samia kwa bei ya bidhaa acha ushamba. Tafuta chanzo acha kushabikia vita. Sasa hivi anayeumia sio wale wanaokufa ni mifuko yetu. Tafuta bei ya mafuta ya kula uone ni tsh ngapi leo na yalikua Tsh ngapi siku vita vinaanza. Subirini pia bei ya gesi na bidhaa za aluminium zipande bei mara dufu ndo mtaelewa. Russia ndio mzalishaji mkubwa wa aluminium duniani. Kampuni kubwa ya aluminium ipo kwenye vikwazo sasa utaona vitu vinavyotegemeana huku duniani. AMANI IRUDI UKRAINE. PUTIN AACHE KUWA PARANOID. Slavs arent his to rule. Kiev was there before Russia was founded mere eighty centrury ago. Kiev was there as an independent kingdom 4 century before the Moscow grand duchy was founded.
 
Mtu yeyote anayemshabikia Putin naona ni mjinga. Akipata ufahamu wa nini kitamkosti yeye ataelewa kwamba vita vile japo wanakufa waukraine na warusi lakini na yeye anachangia polepole. Bei ya pipa la crude petrol ni USD 112 at the moment. Pia wanaopigana ni wazalishaji wakuu wa ngano duniani na gesi. Pia yeyote anayezalisha gesi anazalisha mbolea ya kutumia kwenye mashamba. Ukraine anazalisha mbegu za alizeti kwa wingi duniani. Pia anga la ulaya ni no flying zone kwa ndege zote za kiraia za urusi na pia anga la urusi ni no flying zone kwa ndege za kiraia za ulaya na marekani. Hapa maana yake ni kwamba gharama za usafirishaji na usafiri wa anga zitaongezeka mara mbili. Pia gharama za usafirishaji kwenye maji zinatarajiwa kuongezeka kutoka dola za kimarekani 10,000 mpaka 30,000 kwa kontena moja ikiwa hali hii itaendelea. Uturuki imefunga ghuba ya bosphorus brigde maana yake hakuna meli yenye chakula au bidhaa zozote ya kirusi au kiukraine itapita kuingia mediteranian. Wewe mjinga unayeshangilia vita huku ukimlaumu Samia kwa bei ya bidhaa acha ushamba. Tafuta chanzo acha kushabikia vita. Sasa hivi anayeumia sio wale wanaokufa ni mifuko yetu. Tafuta bei ya mafuta ya kula uone ni tsh ngapi leo na yalikua Tsh ngapi siku vita vinaanza. Subirini pia bei ya gesi na bidhaa za aluminium zipande bei mara dufu ndo mtaelewa. Russia ndio mzalishaji mkubwa wa aluminium duniani. Kampuni kubwa ya aluminium ipo kwenye vikwazo sasa utaona vitu vinavyotegemeana huku duniani. AMANI IRUDI UKRAINE. PUTIN AACHE KUWA PARANOID. Slavs arent his to rule. Kiev was there before Russia was founded mere eighty centrury ago. Kiev was there as an independent kingdom 4 century before the Moscow grand duchy was founded.
Anza kwanza Kujiita Mjinga mwenyewe
Na Gazeti lako
 
Kwenye tweets za wamarekani afu kuna yule mUkraine wa buza atakua bado upande wa US hawa watu ni mashetani kila siku freedom of expression mbona wamemkamata huyu kwasabu alikua akitoa madini sasa watu washawajua ,kila siku wanatumia/kusababisha vita ili waendelee kutajirika kwa kuuza silaha n.k, wapunguze watu duniani na kuimarisha nguvu yao,,,na hii global climate change wanayozidi kuiongelea tunaweza kupigwa na kitu kizito wacha tuone


 
There is a battle near the territory of the Zaporozhye NPP

 
Mtu yeyote anayemshabikia Putin naona ni mjinga. Akipata ufahamu wa nini kitamkosti yeye ataelewa kwamba vita vile japo wanakufa waukraine na warusi lakini na yeye anachangia polepole. Bei ya pipa la crude petrol ni USD 112 at the moment. Pia wanaopigana ni wazalishaji wakuu wa ngano duniani na gesi. Pia yeyote anayezalisha gesi anazalisha mbolea ya kutumia kwenye mashamba. Ukraine anazalisha mbegu za alizeti kwa wingi duniani. Pia anga la ulaya ni no flying zone kwa ndege zote za kiraia za urusi na pia anga la urusi ni no flying zone kwa ndege za kiraia za ulaya na marekani. Hapa maana yake ni kwamba gharama za usafirishaji na usafiri wa anga zitaongezeka mara mbili. Pia gharama za usafirishaji kwenye maji zinatarajiwa kuongezeka kutoka dola za kimarekani 10,000 mpaka 30,000 kwa kontena moja ikiwa hali hii itaendelea. Uturuki imefunga ghuba ya bosphorus brigde maana yake hakuna meli yenye chakula au bidhaa zozote ya kirusi au kiukraine itapita kuingia mediteranian. Wewe mjinga unayeshangilia vita huku ukimlaumu Samia kwa bei ya bidhaa acha ushamba. Tafuta chanzo acha kushabikia vita. Sasa hivi anayeumia sio wale wanaokufa ni mifuko yetu. Tafuta bei ya mafuta ya kula uone ni tsh ngapi leo na yalikua Tsh ngapi siku vita vinaanza. Subirini pia bei ya gesi na bidhaa za aluminium zipande bei mara dufu ndo mtaelewa. Russia ndio mzalishaji mkubwa wa aluminium duniani. Kampuni kubwa ya aluminium ipo kwenye vikwazo sasa utaona vitu vinavyotegemeana huku duniani. AMANI IRUDI UKRAINE. PUTIN AACHE KUWA PARANOID. Slavs arent his to rule. Kiev was there before Russia was founded mere eighty centrury ago. Kiev was there as an independent kingdom 4 century before the Moscow grand duchy was founded.
Mkuu wewe darasani ulikuwa sio timu ya ubuyu na visheti!yaani unachambua mambo vizuri unaeleweka,Kuna wajinga wanachukulia hili suala Kama movie za Rambo,yaani hawaangalii impact za baada ya hii Vita itayoikumba dunia,wapo busy kuchekelea eti Putin mbabe,Wanamsifia mtu anaharibu atmosphere ya dunia kweli..Tanzania sisi na serikali yetu tunafanana akili zetu,dunia nzima imelaani hili suala sisi serikali inasema haina msimamo ,huku Wananchi wako wanampraise Putin akalie nchi ya mwenzie kimabavu,yaani hata sielewi akili zetu huwa Zina nini!
 
Hujui lolote wewe
Mtu yeyote anayemshabikia Putin naona ni mjinga. Akipata ufahamu wa nini kitamkosti yeye ataelewa kwamba vita vile japo wanakufa waukraine na warusi lakini na yeye anachangia polepole. Bei ya pipa la crude petrol ni USD 112 at the moment. Pia wanaopigana ni wazalishaji wakuu wa ngano duniani na gesi. Pia yeyote anayezalisha gesi anazalisha mbolea ya kutumia kwenye mashamba. Ukraine anazalisha mbegu za alizeti kwa wingi duniani. Pia anga la ulaya ni no flying zone kwa ndege zote za kiraia za urusi na pia anga la urusi ni no flying zone kwa ndege za kiraia za ulaya na marekani. Hapa maana yake ni kwamba gharama za usafirishaji na usafiri wa anga zitaongezeka mara mbili. Pia gharama za usafirishaji kwenye maji zinatarajiwa kuongezeka kutoka dola za kimarekani 10,000 mpaka 30,000 kwa kontena moja ikiwa hali hii itaendelea. Uturuki imefunga ghuba ya bosphorus brigde maana yake hakuna meli yenye chakula au bidhaa zozote ya kirusi au kiukraine itapita kuingia mediteranian. Wewe mjinga unayeshangilia vita huku ukimlaumu Samia kwa bei ya bidhaa acha ushamba. Tafuta chanzo acha kushabikia vita. Sasa hivi anayeumia sio wale wanaokufa ni mifuko yetu. Tafuta bei ya mafuta ya kula uone ni tsh ngapi leo na yalikua Tsh ngapi siku vita vinaanza. Subirini pia bei ya gesi na bidhaa za aluminium zipande bei mara dufu ndo mtaelewa. Russia ndio mzalishaji mkubwa wa aluminium duniani. Kampuni kubwa ya aluminium ipo kwenye vikwazo sasa utaona vitu vinavyotegemeana huku duniani. AMANI IRUDI UKRAINE. PUTIN AACHE KUWA PARANOID. Slavs arent his to rule. Kiev was there before Russia was founded mere eighty centrury ago. Kiev was there as an independent kingdom 4 century before the Moscow grand duchy was founded.
 
Roskomnadzor restricted access to the websites of Radio Liberty and the Russian service of the BBC.

SmartSelect_20220301-220358_Gallery.jpg
 
Mtu yeyote anayemshabikia Putin naona ni mjinga. Akipata ufahamu wa nini kitamkosti yeye ataelewa kwamba vita vile japo wanakufa waukraine na warusi lakini na yeye anachangia polepole. Bei ya pipa la crude petrol ni USD 112 at the moment. Pia wanaopigana ni wazalishaji wakuu wa ngano duniani na gesi. Pia yeyote anayezalisha gesi anazalisha mbolea ya kutumia kwenye mashamba. Ukraine anazalisha mbegu za alizeti kwa wingi duniani. Pia anga la ulaya ni no flying zone kwa ndege zote za kiraia za urusi na pia anga la urusi ni no flying zone kwa ndege za kiraia za ulaya na marekani. Hapa maana yake ni kwamba gharama za usafirishaji na usafiri wa anga zitaongezeka mara mbili. Pia gharama za usafirishaji kwenye maji zinatarajiwa kuongezeka kutoka dola za kimarekani 10,000 mpaka 30,000 kwa kontena moja ikiwa hali hii itaendelea. Uturuki imefunga ghuba ya bosphorus brigde maana yake hakuna meli yenye chakula au bidhaa zozote ya kirusi au kiukraine itapita kuingia mediteranian. Wewe mjinga unayeshangilia vita huku ukimlaumu Samia kwa bei ya bidhaa acha ushamba. Tafuta chanzo acha kushabikia vita. Sasa hivi anayeumia sio wale wanaokufa ni mifuko yetu. Tafuta bei ya mafuta ya kula uone ni tsh ngapi leo na yalikua Tsh ngapi siku vita vinaanza. Subirini pia bei ya gesi na bidhaa za aluminium zipande bei mara dufu ndo mtaelewa. Russia ndio mzalishaji mkubwa wa aluminium duniani. Kampuni kubwa ya aluminium ipo kwenye vikwazo sasa utaona vitu vinavyotegemeana huku duniani. AMANI IRUDI UKRAINE. PUTIN AACHE KUWA PARANOID. Slavs arent his to rule. Kiev was there before Russia was founded mere eighty centrury ago. Kiev was there as an independent kingdom 4 century before the Moscow grand duchy was founded.
Utopolo mwingine huu.

Bei ya bidhaa kama mafuta iko juu hata kabla ya vita.

Unataka tushabikie mashoga.
Wakiimaliza Russia hawatakuwa na wa kumzuia kufanya chochote watakachotaka kwao.

Tumia kichwa kufikiria. Usiite wajinga waliokinyume na wewe.

Hata familia yako itakuwa inakuvumilia tu wewe inasubiri watoto wakue wakuuuuue.
Jichunge usilazimishe kila mmoja akufuate unachotaka.
Go Putin Go

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu wewe darasani ulikuwa sio timu ya ubuyu na visheti!yaani unachambua mambo vizuri unaeleweka,Kuna wajinga wanachukulia hili suala Kama movie za Rambo,yaani hawaangalii impact za baada ya hii Vita itayoikumba dunia,wapo busy kuchekelea eti Putin mbabe,Wanamsifia mtu anaharibu atmosphere ya dunia kweli..Tanzania sisi na serikali yetu tunafanana akili zetu,dunia nzima imelaani hili suala sisi serikali inasema haina msimamo ,huku Wananchi wako wanampraise Putin akalie nchi ya mwenzie kimabavu,yaani hata sielewi akili zetu huwa Zina nini!
Wewe ulikuwa unatakaje
 
Kuichukua nchi nzima sio kitu rahisi kwa Strategy Anayoitumia Putin ya kubembeleza, Na ndio inampa hasara sana.

Uwepo wa watu katika battlefield Imekuwa advantage kubwa Sana kwa Ukraine, kutumia kama kinga kwao, Na kuwapa ugumu Russia kutupa mabovu kwa kunyatanyata.

Nazani wangesema raia wote wametoka, Nchi ingebaki tambalale.

Map of the progress of the special operation for March 3

IMG_20220304_091244_347.jpg
 
Utopolo mwingine huu.

Bei ya bidhaa kama mafuta iko juu hata kabla ya vita.

Unataka tushabikie mashoga.
Wakiimaliza Russia hawatakuwa na wa kumzuia kufanya chochote watakachotaka kwao.

Tumia kichwa kufikiria. Usiite wajinga waliokinyume na wewe.

Hata familia yako itakuwa inakuvumilia tu wewe inasubiri watoto wakue wakuuuuue.
Jichunge usilazimishe kila mmoja akufuate unachotaka.
Go Putin Go

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Mtu mjinga ni asiye jua. Bei ya mafuta ilikua juu ndio lakini inaenda juu zaidi. Pia bei ya crude oil ilikua dola 99 leo ni dola 112. Huoni uhusiano hapo?
 
Back
Top Bottom