LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Waache wauwawe tu usilalamike.

Russia is a peacemaker

Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Warusi wa Itilima mna maneno
 
Reactions: F9T
Kwani ukraine ni sehemu ya umoja wa NATO hadi NATO apeleke jeshi?
Libya, Iraq na Syria zilikuwa sehemu ya NATO walipopeleka jeshi kujifanya wanasaidia raia? Una hoja mufilisi sana. Russia kavamia Ukraine na kuwaonea raia kama mnavyosema basi NATO wamepeke jeshi kusaidia uone kama mpaka mpaka wa ulaya haujasogezwa.

NATO wanajua fikra wakiingia pale itabidi Poland waitoe sadaka ya kuteketezwa maana yanayoendelea pale Kapustin Yar yatajulikana Poland
 
Halafu sasa kichekesho kikubwa ni hawa hawa wanaomshangilia Putin enzi za Serikali ya awamu ya Tano na hata kule Jukwaa la Siasa walikuwa wanatokwa mapovu ya kulaani Udicteta wakiongozwa na kina Yericko Nyerere , unabaki unajiuliza hawa ndiyo wanaolilia Demokrasia hapa Nchini kweli,tukiwapa madaraka si watageuka kuwa kina Putin wa Bongo.
 
Hivi ni Putin ndiye aliyesema kuwa operation hiyo ingechukua saa 24????!!! Watu naona mmeshiba mno propaganda za USA na magharibi kwa ujumla....game plan ya Russia kuhusu Ukraine ni tofauti kabisa...subirini muone
 
Unadhani kwanini basi watu hawatoki pamoja na kunyeshewa mnvua ya mabomu kila siku?
 
Usidharau Marekani. Wale watu wana personel ya watu wenye akili. Kama una exposure jaribu kujipenyeza kwenye taasisi za kati za USA au nchi washirika utanielewa.
Anadharau Marekani wakati leo akipewa Green Card ya kwenda kuishi huko anaweza hata kuukana uraia ili akaishi "American Dream"
 
Taifa lina bahati mbaya sana ya kuwa na watu wengi wa hovyo, vilaza wenye akili kiduchu na mawazo finyu.
Poor us.
 
Anadharau Marekani wakati leo akipewa Grren Card ya kwenda kuishi huko anaweza hata kuukana uraia ili akaishi "American Dream"
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Nafikiri Ndo nchi inayoongoza kwa watu kutaka kuwa raia wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…