LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mkuu watu wanakufa kila siku
 
Putin ni mbabe kweli na mbaya zaidi na Russia inajulikana kwa Ubabe. Russia kapanga kuchafua kadhamiria kweli kweli

Hivi akisema timu yoyote isiende Qatar sidhan kama kuna ambaye ataenda[emoji28][emoji28]. Fifa isilete siasa kwenye soka aseee putin hataki masihara kabisa.
 
sorry mkuu unasema ulifika marekani . VP umewah fika na Russia?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…