LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
View attachment 2138969
Kubwa jinga Putin full panick
Waleta taarifa hapa wa Putin hawaleti zile za upinzani wa ndani kule Russia,pana Kituo kimoja cha TV wamerisign wafanyakazi wote Live on Camera baada ya kushutumu jinsi wanavyolazimishwa utoaji wa habari wenyewe wameita "Media Crackdown".Nimekuja hapa nione kama imeletwa,naambulia ma screen shot ya TBC ya Russia peke yake.
 
Tofauti ya wasukuma na wanyamwezi au wanyantunzu nini?
Naona unaongea vitu hivi jui.
 
Sio sawa lkn, wakae kama ndugu wazungumze, hali iliyofikia Ukraine ni mbaya sana. Mji umekuwa kama Syria, ingawa Zelensikyy alizingua mwanzoni kwa kujifanya mwamba, ila wakae wayamalize.
hakuna kuyamaliza mtoto kalilia wembe kapewa
 
RUSSIA vs UKRAINE pia tuwaachie wenyewe MKUU[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Sawa mmarekani wa namtumbo
 
Lakini mkuu huoni ya kwamba inawakatisha tamaa viongozi wa Ukraine?
Si bora wange afikiana kwa siri?

Sent from my TECNO BB4 using JamiiForums mobile app
 
Russia has taken control of Europe's largest nuclear power station in Ukraine after it was hit by shelling.



Russian troops attacked the Zaporizhzhia plant located in southeast Ukraine in the early hours of Friday.


The attack renewed fears of any other emergency just like the 1986 Chernobyl accident, the world’s worst nuclear disaster, which came about approximately sixty five miles north of the Ukrainian capital.


President Zelensky, said that the said attack could have caused destruction which could be equal to six Chernobyls, the site of the world's worst nuclear disaster in 1986. "If there is an explosion, it is the end of everything. the END OF EUROPE," he added.


The attack led to phone calls between Ukrainian President, and U.S. President, and other world leaders. The U.S. Department of Energy activated its nuclear incident response team as a precaution.
The UK Prime Minister, Boris Johnson condemned the attack as ‘reckless’ and accused Russia of ‘threatening the security of the whole of Europe’.

For more contents and updates, click on the follow button.
SOURCES:
https://www.bbc.com/news/world-europe-60613438
https://universul.net/russian-forces-seize-ukrainian-nuclear-plant-after-fire-europes-safety-directly-threatened-uk-pm/
 
Warusi wa Babati na Kateshi vip mpo tupeni habari ni mji gani hapo Ukrain wa maana mliofanikiwa kuukamata baada ya wiki moja na siku tatu za nyie kuanzisha vita

Aaaaah nacheka kama mazuri vile lakini daah warusi wa Hai mmepatwa na aibu sana kwa kweli kwa jinsi mlivyokuwaga mnajitapa kuwa mna jeshi lenye nguvu duniani na mmekutana na kipigo heavy kutoka kwa kitaifa kidogo kama Ukrain haya ni maajabu aisee

Urusi sasa mlipofikia hali ni mbaya zaidi ya kupiga tu mabomu ovyo ovyo na kupiga makazi ya Raia basi hakuna kingine cha maana mlichokipata kwenye hii vita mpaka sasa

Yaani ata jeshi lenu la anga ni mdebwedo kweli kweli , jeshi la majini ndo usiseme kabisa yote tisa kumi ni jeahi la ardhini kila likiiinua mguu linakula kipondo heavy kil likisogeza pua linakuala kipondo cha kufa mtu na ndo maana mpKa sasa mmeshindwa kufanya advancement ya maana yoyote ile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…