My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Siyo Ukraine tu, Russia ataponaje kiuchumi?Putin ameshasema mara kadha wa kadha kuwa USA aliposababisha maafa Libya, Syria, Serbia, Iraq na Afghanistan nani ali condemn hayo ? Even UN security assembly hawaku approve uvamizi.
Tusii condemn RUSSIA sababu yenyewe inatka security assurance kuwa western bloc hawato expand east zaid wala kuweka sophiscated material zao pale za kijeshi.
What i see ni USA kujaribu kuiweka Russia kwenye mtego mbovu ili aingie kwenye vita alafu azid kuporomoka kiuchum.
USA wana propaganda za kipuuz sana.
Through diplomacy ule mgogoro utaisha lakini kwa kurushiana magurunet muathirika mkubwa ni Ukrain
Putin anashinikiza Ukraine isiwe mwanachama wa NATO ndio maana ameleta mbinu hii ya zaman,anyways kila kiongozi ana maono yake,sidhan ka Vladimir n mjinga mpk Hali hiii ipoAivamie Ukraine akose mradi wa gas wa Nord Stream 2?..NATO walishamwambia Putin very clear,hawezi pata vyote,achague kimoja,aivamie Ukraine akose Nord Stream 2 au aachane na Ukraine inversion abakize Nord stream 2.
Unafikiri Putin ni mjinga hivyo akose mradi utaofaidisha genereations sababu ya vita Ukraine.
Kila kitu ni leverage boss sio ubabe wa kijinga mnaoupigania huku usio na kichwa wala miguu.
Leo Sergei Lavrov amesema baadhi ya wanajeshi waliokuwa mpakani Ukraine wameanza safari ya kurudi kambini,Hata satellites za Marekani wame confirm movements za wanajeshi ku withdraw..
Vita sio lelemama aisee
Sawa mkuu kwa hiyo udhaifu wa Russia kiuchumi ni sababu tosha ya kushindwa VitaFrance + Uk wote wakiungana kwenye arsenal zao hawafikii number ya nuclear warhead zinazomilikiwa na Russia.
Kuna mpembuzi msomi hapo ameelezea economically Russia iko chini kuliko hizo nchi.
Lakini uwanda wa kivita ni superpower wana cheza sawa na USA. Wameuza technolijia nyingi na wako poa sana kwenye midani hiyo.. China, India ambazo wako vizur kwenye uwanda huo pia most of its technology ni kutoka Russia.
Wakati Ukraine inakuwa Bahari ya Damu Russia itakuwa salama?Ni uhuru gani anao utaka Ukraine?
Yaan utishie usalama wa raia wangu kwa kigezo cha uhuru?
Ukaribishe adui yangu anaye ota kila siku niangamie alafu nikae kimia kisa una uhuru wa kujitawala?
Alafu Marekani anapata wapi uhalali wa kuikemea Russia ali ya kuwa ndio kinala wa kuingilia uhuru wa nchi nyingine?
Viongozi wa Ukraine kama wana akili wanatakiwa kufuata siasa zisizo fungamana na upande wowote kwa sababu taifa lao lipo kwenye eneo la kimkakati tofauti na hapo ipo siku Ukraine ita geuka bahari ya damu.
Mkuu labda kinachokutesa ni ushabiki wako kwa Russia, lakini ukweli ni uleule kwamba Russia anaogopa mno sasa hivi [emoji16]
Umeongea sahihi mkuu, km wanaweza Marekani na wake zake wakomboe jimbo la Cremea au Donbas iliyo chino ya waasi wanaoungwa mkono na Russia ndio vita ya 3 ya dunia ianze rasmi.Tatizo watz tuna ujuaji wa kinonko sana.
Urusi ikiamua itaivamia Ukraine na Marekani hatofanya chochote zaidi kulialia na kuweka vikwazo.
Marekani na vibaraka wake wangekuwa na nia ya kweli kuisaidia Ukraine wangeisadia kukomboa majimbo mawili yanayo shikiliwa na waasi.
Inashangaza eti jeshi ambalo limeshindwa na kukundi cha waasi chenye wapiganaji wasiozidi 50,000 eti kije kukabiliana na moja wapo ya jeshi kubwa duniani.
Iwapo vita itatokea nakuhakikishia jeshi la Ukraine halitaweza kuhimili nguvu ya jeshi la Urusi hata ndani ya wiki mbili.
We jamaa bado hujaelewa hizi siasa za dunia hii zinavyoenda. Hivi hali ilivyo ni muda wa kutaka kukomboa majimbo ili umpe Urusi nafasi ya kupata kisingizio? Marekani hawezi ingia vitani moja kwa moja kwani manufaa yake kwenye hivi vita ni kidogo.Ndio maana nimemwambia mtoa mada ya kwamba Urusi inaweza isiivamie Ukraine kwa sababu zingine hasa za kiuchumi .
Lakini hoja ya kwamba Urusi inaogopa kuivamia eti kwa sababu ya kugopa Marekani itatuma wanajeshi wake sio kweli.
Na ndio maana nimemwambia ya kwamba Urusi ikiamua kuivamia Ukraine Marekani hatofanya chochote zaidi ya kuweka vikwazo vya kiuchumi ikiwemo kusitisha hilo bomba la gesi.
Na kama umeufatilia huu mgogoro hakuna kiongozi yeyote yule wa Urusi aliye sema ya kwamba Urusi inataka kuivamia Ukraine zaidi ya kusema wanafanya mazoezi ya kijeshi ya kawaida,
hizo tuuma za Urusi kutaka kuivamia Ukraine zimekuwa zikitolewa na nchi magharibi na viongozi wa Urusi Mara kwa mara wamekuwa wakikanusha.
Na sisitiza USA na washirika wake wange kuwa na nia ya kuisaidia Ukraine wangeisaidia kwanza kukomboa majimbo mawili yanayo shikiliwa na waasi.
Tatizo mkuu ume amuwa kujitoa akili badala yake umeamuwa kuongozwa na mihemko na chuki dhidi ya Russia.Nitajie ni lini Ukraine imetishia raia wa Urusi?..
Ukraine anataka uhuru wa kuchagua rafiki bila kupangiwa na mtu,maana ni nchi huru,labda useme hapa Ukraine sio nchi huru na utoe vigezo.
Marekani sio tu anaowapigia Russia kelele dunia yote inamuona mrusi ana sababu za hovyo kutaka kuivamia Ukraine,,strategic area zote kama eastern Ukraine na Crimea ambapo ni door to black sea fleet na baltics Russia ndio anazitawala,leo anataka ku bomb Kyev aue raia wasio na hatia in what grounds??
Kingine shida ni kujiunga NATO sio?,,Ronania,Lithuania,Wazirstan wote hawa walikuwa Soviet members na wamejiunga na NATO,mbona Russia hakuwavamia kwa kigezo hicho hico unachokiita kuhatarisha raia wake?...Tuache kushabikia mauaji kishabiki shabiki
Sasa mkuu unacho pinga nn na unacho kubali ni kipi?We jamaa bado hujaelewa hizi siasa za dunia hii zinavyoenda. Hivi hali ilivyo ni muda wa kutaka kukomboa majimbo ili umpe Urusi nafasi ya kupata kisingizio? Marekani hawezi ingia vitani moja kwa moja kwani manufaa yake kwenye hivi vita ni kidogo.
hao walojiunga hawakua kitisho kama KIEV nandio maana MOSCOW wamekua wazi kabisa kwamba kama KIEV itajiunga na NATO watapigwa tuuNitajie ni lini Ukraine imetishia raia wa Urusi?..
Ukraine anataka uhuru wa kuchagua rafiki bila kupangiwa na mtu,maana ni nchi huru,labda useme hapa Ukraine sio nchi huru na utoe vigezo.
Marekani sio tu anaowapigia Russia kelele dunia yote inamuona mrusi ana sababu za hovyo kutaka kuivamia Ukraine,,strategic area zote kama eastern Ukraine na Crimea ambapo ni door to black sea fleet na baltics Russia ndio anazitawala,leo anataka ku bomb Kyev aue raia wasio na hatia in what grounds??
Kingine shida ni kujiunga NATO sio?,,Ronania,Lithuania,Wazirstan wote hawa walikuwa Soviet members na wamejiunga na NATO,mbona Russia hakuwavamia kwa kigezo hicho hico unachokiita kuhatarisha raia wake?...Tuache kushabikia mauaji kishabiki shabiki
hrheherWe jamaa bado hujaelewa hizi siasa za dunia hii zinavyoenda. Hivi hali ilivyo ni muda wa kutaka kukomboa majimbo ili umpe Urusi nafasi ya kupata kisingizio? Marekani hawezi ingia vitani moja kwa moja kwani manufaa yake kwenye hivi vita ni kidogo.