Nitajie ni lini Ukraine imetishia raia wa Urusi?..
Ukraine anataka uhuru wa kuchagua rafiki bila kupangiwa na mtu,maana ni nchi huru,labda useme hapa Ukraine sio nchi huru na utoe vigezo.
Marekani sio tu anaowapigia Russia kelele dunia yote inamuona mrusi ana sababu za hovyo kutaka kuivamia Ukraine,,strategic area zote kama eastern Ukraine na Crimea ambapo ni door to black sea fleet na baltics Russia ndio anazitawala,leo anataka ku bomb Kyev aue raia wasio na hatia in what grounds??
Kingine shida ni kujiunga NATO sio?,,Ronania,Lithuania,Wazirstan wote hawa walikuwa Soviet members na wamejiunga na NATO,mbona Russia hakuwavamia kwa kigezo hicho hico unachokiita kuhatarisha raia wake?...Tuache kushabikia mauaji kishabiki shabiki