mbona hamuweki picha za huko mnako sema wao wamepiga wameweka. hizo za watu wanapigwa risasi Congo zipo wapi...?Tunashadadia Ukraine ilio miles away wakati hapo Congo DRC kuna watu wanalimwa risasi live kimya kimya
miafrika mijitu ya ajabu
Yaani wewe ufahamu yote hayo Urusi isifahamu mkuu hahahahahahaha kifupi unaotaMzee Marine ziko hapo zinashusha mzigo.Achana na mzigo ulikuwepo.
Na Mwingereza na nchi zote za NATO.
Hivi mrusi kashachakaza hapo Ukraine ila kaona watu wanakuja ndo anaanza kuomba makubaliano.
Na hamna kinachorudi zaidi ya kichapo.
Wakimaliza kufunga mambo yao sasa ni vita kamili.
Kilichotokea ilikua propaganda tu.
Wenye nguvu wanaenda kufukia kila kitu.
Subiri 1 week
hahahaha, noma sanaTunashadadia Ukraine ilio miles away wakati hapo Congo DRC kuna watu wanalimwa risasi live kimya kimya
miafrika mijitu ya ajabu
Sio kila fala anaweza ku access social account za Rais wa watu,man of the people ZelezinkyπNimejaribu kumgoogle kama siku zote ila majibu ni
Oops! We ran into some problems.
This this one limits who may view their full profile and his stories .
Kwa majibu haya nadhani tayari amekufa na ndio maana sisi tunadai yuko wapi rais wetu Zelenskyy? Hatumwoni akijirekodi wala akiwasema NATO au akiomba kuongea na Putin.
Russia hajawahi chukua huo mji.....Ukrainian defence officials claim that their forces have re-taken the eastern city of Chuhuiv.
In an operational update posted to Facebook on Sunday night, Ukraine's General Staff said that Kyiv's forces had seized the city from Russian troops and had inflicted heavy losses on Moscow's forces during the battle.
Kuzuia athari za vita? Embu nikuulize ni wapi NATO wamezuia athari za vita? Kule israel na Palestine wamezuia nn? Kule iran, libya, afghanistan, saud arabia, syria, cuba walizuia sindo walioanzisha vita?
Hao NATO ndo chanzo au kiini cha upotevu wa amani duniani, dunia kwa sasa inataka kuona taifa litakalozuia huu uonevu unaofanywa na NATO wakiwa na US. Kwa hili la ukraine tushukuru Russia ameonesha dunia kuwa NATO ni watu gani hii itasaidia sana hata mataifa mengine kiufupi tumeona unafiki wa NATO mataifa mengi yamejifunza. Tunataka dunia yenye equal balance of power kwa sasa, so mtu anajiamulia anachotaka
Hapa namalizia ku install app za ukweli ili ku access location yake. USA wamempa simu nyingine na ndio tunayoifanyia kazi mda huu.Sio kila fala anaweza ku access social account za Rais wa watu,man of the people Zelezinkyπ
View attachment 2141772
View attachment 2141773
Hayo ni sawa na vyuma chakavuMkuu acha kuyadharau maana Wachina, Wahindi na Waturuki waliyanunua pamoja na hatari ya vikwazo na kununa kwa Marekani, kabla ya kununua walifanya testing. Iran alitaka kuuziwa ila Urusi hakukubali, ukiona silaha ikitaka kuuzwa Marekani anatishia kuweka vikwazo na ananuna usidhani anapoteza muda, ndege latest za Urusi mbona hata Algeria na Egypt wananunua bila shida.
S-400 inaizidi mbali MIM Patriot ya Mmarekani. Marekani iligoma kuiuzia Uturuki F-35 ili S-400 za Uturuki zisisome characristics na kwa kuwa Russian maintenance engineers wanakuwepo wasije jua siri. Nakumbusha mwaka jana UK ilipodondosha F-35 bahari ya Mediterranean walileta submarines na robots kuitoa kilomita kadhaa baharini chini ili Urusi au China zisiibe. S-400 sio ya kuipeleka Ukraine ambako kuna Su-25 na Mig-29
Hoja dhaifu ipi?Pro NATO wanajenga hoja dhaifu sana mpaka nawasikitia uwezo wao ulivyo dhaifu. Yaani ni kufanya attack huku wakienda kujiliwaza CNN na BBC juu ya kichapo wanachopewa wanazi wa Ukraine huko wanafarijiana kila kitu kipo sawa lakini ukweli wanaujua.
Kuna document zinakamatwa na Urusi kwenye hiyo operation kwamba mmarekani alipanga kuwaangamiza warusi kwa kemikali za sumu na silaha za kibailojia. Hapo nachelea kusema ngoma inogile hiko kizazi za wanazi wa Ukraine watasulubiwa
Kauzwa na NATO au sio?Zelensky fala sana, comedian, kauzwa na NATO, kaingia mkenge kadanganywa, kaachwa kwenye mataa, sasa anapigika, ndio ajifunze, Rais akiwa comedian akili hakuna kabisa, anajua maisha ni kama comedy tu. Acha ashughulikiwe.
Wamegeuza bogi lao na saizi wanatafuta njia nyingine ya kuingia Ukraine ila tutawateketeza mapema sanaUK veteran, mmoja amewaasa waingereza wenzake, wafikrie mara elfu na hawashauri kabisa kwenda Ukraine. Mkuu msaidizi wa majeshi ya Urusi amesema, kuna mercenaries wanaenda Ukraine, wamepata taarifa hiyo, wafikirie mara saba saba kabla ya kuingia Ukraine. π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯ watabakia mavumbi ha haaa
Umepoteza Tsh ngapi kutumia muda wako kutoa haya maoni?Mtoa post unaonaje huu muda ULIOTUMIA kupost huu ujinga wako ungekuwa unasoma namna ya kutafuta pesa kwa kutumia fursa zilizopo mtaani kwako badilika acha ujinga soma usiwe mtu wa akili za 0.0 yaani zero brain
Huyo mfungwa.si yuko jela kwa wizi,akamueleze mke wake huo utopoloJacob Zuma kaiasa Ukraine iache kujipendekeza kwa NATO, badala yake iweke maslahi ya raia wake mbele zaidi
=====
ββWe call on President Zelensky to put the interests of the Ukrainians first, instead of pandering to his western allies at the expense of innocent lives.β
View attachment 2141588
Zuma: Ukraine must stop pandering to West, put own people first
Former president Jacob Zuma has called on Ukraine to stop 'pandering' to the West and put its own people first.www.thesouthafrican.com
Juzi Zelezinky aliongea na baadhi ya wabunge wa sanate kwenye kikao cha Siri aliomba no fly zone au helicopters.View attachment 2141694
Au Biden ana Altzeimer .