Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Hakuna sababu za US kuvamia bali anatumia akili tuu.
Tulia unywe aji afu ndio usome hizi habari hapa chini [emoji116]
View attachment 2142565
View attachment 2142566
Unaanza kuwa hivi Kuna binadamu wanawaza kwa kufikiria nini?Ni upumbavu wa hali ya juu alafu walivyo wanafiki sasa wanajifanya eti hawana upande ***** mimi nataka waendelee kuwang'ang'ania mpaka serikali ya Tz ikajisalimishe kwa serikali ya Ukrain na ipige magoti ili wanafunzi waweze kuruhusiwa kuondoka pale
Nimeshayataja rudia nyuzi zilizopitaYataje hayo maeneo mliyoyafikia na kuyateka kwa asilimia 100
Na Waafghanistan watakumbukwa kwa sifa ipi? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wewe kiazi ndio unawaza huo upuuzi ila wenye Rais wao wanawaza hivi [emoji116]
View attachment 2142559
Mimi siongei kwa hisia nakupa ukweli halisi uusikilize ama uukatae lakini huo ndo ukweli na icho ndo ambacho serikali ya tz inapaswa kukifanya ili vijana wetu waondolewe kule
Natumia kauli yako pathetic, unju bin unuk weweNtatumiaje hoja wakati yeye hoja zake ziko katika mtindo wa pumba!!
Hujui ukiwazachoKama wako karibu na Russia wambie Russia wakawachukue sasa muone kama wataweza
Pili Raisi anapaswa kuongea na Raisi mwenzie wa Ukrain na kumuomba wawaruhusu wanafunzi wa tz wawaondoe kule na si kuongea na Russia iyo ni dharau tena kubwa sana ata kama mimi ningekuwa ndo Raisi wa Ukrain ningefanya ivyo ivyo
We jamaa unaongea nn aisee, Yani Us amvamie Russia anatafuta nini hasa? Kuna maslah yyte ? Ana rasilimali yyte ili akamuibie? Au amvamie ili awafurahshe nyie mashabiki mandazi ? Russia ashavunjwa vunjwa uwezo wake kitambo Sana Kwa njia ya akili Tu bila kutumia nguvu , Russia ni maskini the same to Iran and north Korea , ....!!! Hii vita wa kuwahurumia ni Raia wa Ukraine , lakini West na US wamenuia hii vita isiishe ili wamuadhibu vikali Russia economically ..na atachapika haswa , hawataki apate kisingizio cha kutanua uwanja wa vita , Ila corridor itakayotumika ni humo humo tu Ukraine , nje watawatangazia hawana mpango wa kupigana na Russia na mtashangilia mkifkri wameufyata Ila kimya kimya wanasuport humohumo Ukraine , vyombo vya habar vitaendelea kuripoti uharibifu unaofanywa na Russia Ukraine na mtashangilia kumbe watu Wana mission nyingine , Japan ndo anajua vizur akili za wazungu zikoje , baada ya mwaka mmoja maraia wa Urusi wataanza kuuza figo ili wajikimu kimaisha ....!!West gan unayemwongelea? Labda ungesema US ila hao takataka wengine hakuna mwenye ubavu wa kumshinda Russia. NATO ni waoga na ukishaona mtu yuko hv atakimbilia maneno, vikwazo na propaganda na bila shaka hajiamini na jeshi lake.
Labda ujue western yyte atakayeingia vitani kuna mataifa makubwa yanayomsapoti russia nayo yataingia hio itakua WW3. Afu mnaosema russia maskini huwa nashindwa waelewa mnaangalia nn? Nchi inamiliki zaid ya nyuklia 6000 ndege vita zaid ya 2000 bado magari hv unajua gharama ya kutengeneza nyuklia 1??. Usije na data ambazo huna uhakika nazo.
Russia wamejipanga sana kwenye jeshi coz ndo silaha yao kubwa wanayoitegemea watafanya ujinga kote lakini sio kwenye jeshi wapo makini sana hapa kwasabu adui yake no1 ni US.
Na kama russia angekua vibaya kwenye jeshi marekani angekua alishamvamia muda sana kwasabu mmarekani anajua uwepo wa Russia kadiri siku zinavozidi kwenda ndo anazidi kuwa mbaya kwenye utawala wake. Mmarekani anamaspy kila kona lakini kwanini hamvamii Russia? Coz anajua ubora wake kijeshi so anaishia kushinikiza vikwazo nk.
Kinachoendelea ni Eastern nao wakiongozwa na China, Russia, Korea, India etc hawa wataunga umoja wao na watakua na nguvu sana huko
Mbeleni.Ngoja niishie hapa.
Tukija kwenye bible kama wewe ni msomaji wa bible imeandikwa kama sio kitabu cha ufunuo, utawala wa mashariki watachomoza na wataangusha utawala wa magharibi ndo hao Us na NATO hzi ni dalili za siku za mwisho ni kama unabii unatimia kwa haya yanaondelea sahivi kwa wanaoamini bible ndo imeandika hivo. Kwa sisi wengine tuendelee kuamin tunachoamini
Watu hawabishani kichovu kama wewe unavyofanya ili kutaka kuona mshindi. Hata aibu huoni mtu kaharibu facilities zaidi ya 2000 na kaua malaki ya askari ndani ya siku 5 tu pekee. Mtu anatumia kombola la million 50 kushusha kambi nzima ya jeshi iliyojengwa kwa trillion of money bado unasema Ukraine ni washindi, hizi akili mnazotumia vibaya hivi mtakuja kudharauliwa na watoto wenuLeo kuna ankai The Sunk Cost Fallacy Imeloa na Omary - Msamalia wanawatoeni povu Pro Russia pamoja na wingi wenu hapa.Kuna T14 Armata yeye anawapeni uhalisia wa mambo msiyopenda kuyasikia,nasoma kimya kimya huku nacheka mnavyotoa povu.Mlidhani mambo ni rahisi ki hivyo,kesheni tu huko maabara lakini mkija kwa ground mnakutana na vijana wa Zelenskyy wanawatoeni jasho.
Slava Ukraine
SLAVA ZELENSKY!!Leo kuna ankai The Sunk Cost Fallacy Imeloa na Omary - Msamalia wanawatoeni povu Pro Russia pamoja na wingi wenu hapa.Kuna T14 Armata yeye anawapeni uhalisia wa mambo msiyopenda kuyasikia,nasoma kimya kimya huku nacheka mnavyotoa povu.Mlidhani mambo ni rahisi ki hivyo,kesheni tu huko maabara lakini mkija kwa ground mnakutana na vijana wa Zelenskyy wanawatoeni jasho.
Slava Ukraine
😂 😅 Nilikuwepo wakati wa mechi nilikuwa nafuatilia kimya kimya.Hawa Russia na nduguye Ukraine wamesababisha tutelekeze majukwaa mengine kwa muda,tuwaombee wamalize huu mgogoro mapema kwa maslahi mapana ya raia wanaoteseka huko.Mkuu hata nyuzi za simba umepotea upo Ukraine tu.
Nimesema hana akili jinyonge sasa!!Wewe chimba unye ndio una akili?
Sipendi mtu anayerukia comment yangu na kujibu kwa jazba,hebu uwe unaskip comment zangu au nikusaidie kwa kukuweka kwa ignore list kabisa.Bye👋Watu hawabishani kichovu kama wewe unavyofanya ili kutaka kuona mshindi. Hata aibu huoni mtu kaharibu facilities zaidi ya 2000 na kaua malaki ya askari ndani ya siku 5 tu pekee. Mtu anatumia kombola la million 50 kushusha kambi nzima ya jeshi iliyojengwa kwa trillion of money bado unasema Ukraine ni washindi, hizi akili mnazotumia vibaya hivi mtakuja kudharauliwa na watoto wenu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kisa jamii forum.Nimesema hana akili jinyonge sasa!!
SLAVA UKRAINE 👏👏SLAVA ZELENSKY!!
Na aendelee kulia sana mpaka sauti na machozi vyote vikauke ninachokisema apa ni kwamba serikali yetu imekosea na imeonyesha dharau kubwa sana kwa serikali ya Ukrain watu wananitambua hawawezi kufanya kitu cha namnaMzee omba Mungu watanzania wenzetu warudi salama ila ungekua na mdogo wako kule au ndugu yako usinge andika haya hapa. Omba yasikukute hapa ofisin kwangu kuna mama mtoto wake yuko huko analia tu hadi huruma mpaka CEO Amempa likizo.
Akili zingekuwa zinachajiwa ningekupa fast charger uchaji zako maana ziko low sana. Hivi unataka kusema Iraq na Libya ni tajiri kuliko Russia? Kwamba Marekani ilizivamia hizo nchi nyingine kwa sababu ni tajiri kuliko Russia?We jamaa unaongea nn aisee, Yani Us amvamie Russia anatafuta nini hasa? Kuna maslah yyte ? Ana rasilimali yyte ili akamuibie? Au amvamie ili awafurahshe nyie mashabiki mandazi ? Russia ashavunjwa vunjwa uwezo wake kitambo Sana Kwa njia ya akili Tu bila kutumia nguvu , Russia ni maskini the same to Iran and north Korea , ....!!! Hii vita wa kuwahurumia ni Raia wa Ukraine , lakini West na US wamenuia hii vita isiishe ili wamuadhibu vikali Russia economically ..na atachapika haswa , hawataki apate kisingizio cha kutanua uwanja wa vita , Ila corridor itakayotumika ni humo humo tu Ukraine , nje watawatangazia hawana mpango wa kupigana na Russia na mtashangilia mkifkri wameufyata Ila kimya kimya wanasuport humohumo Ukraine , vyombo vya habar vitaendelea kuripoti uharibifu unaofanywa na Russia Ukraine na mtashangilia kumbe watu Wana mission nyingine , Japan ndo anajua vizur akili za wazungu zikoje , baada ya mwaka mmoja maraia wa Urusi wataanza kuuza figo ili wajikimu kimaisha ....!!
Tuambie lini NATO waliheshimu Mamlaka za Afghanistan, Iraq, Libya, Somalia, Panama, Colombia, Syria acha kuwa na double standard.Na aendelee kulia sana mpaka sauti na machozi vyote vikauke ninachokisema apa ni kwamba serikali yetu imekosea na imeonyesha dharau kubwa sana kwa serikali ya Ukrain watu wananitambua hawawezi kufanya kitu cha namna
Serikakali ni lazima iwe inatambua mipaka yake na kuheshimu mamlaka za nchi nyingine kama ambavyo yenyewe inataka kuheshimiwa kwa akili ndogo ya kawaida kabisa huwezi kufanya kitu cha ajabu namna hii
We jamaa unaongea nn aisee, Yani Us amvamie Russia anatafuta nini hasa? Kuna maslah yyte ? Ana rasilimali yyte ili akamuibie? Au amvamie ili awafurahshe nyie mashabiki mandazi ? Russia ashavunjwa vunjwa uwezo wake kitambo Sana Kwa njia ya akili Tu bila kutumia nguvu , Russia ni maskini the same to Iran and north Korea , ....!!! Hii vita wa kuwahurumia ni Raia wa Ukraine , lakini West na US wamenuia hii vita isiishe ili wamuadhibu vikali Russia economically ..na atachapika haswa , hawataki apate kisingizio cha kutanua uwanja wa vita , Ila corridor itakayotumika ni humo humo tu Ukraine , nje watawatangazia hawana mpango wa kupigana na Russia na mtashangilia mkifkri wameufyata Ila kimya kimya wanasuport humohumo Ukraine , vyombo vya habar vitaendelea kuripoti uharibifu unaofanywa na Russia Ukraine na mtashangilia kumbe watu Wana mission nyingine , Japan ndo anajua vizur akili za wazungu zikoje , baada ya mwaka mmoja maraia wa Urusi wataanza kuuza figo ili wajikimu kimaisha ....!!