We jamaa unaongea nn aisee, Yani Us amvamie Russia anatafuta nini hasa? Kuna maslah yyte ? Ana rasilimali yyte ili akamuibie? Au amvamie ili awafurahshe nyie mashabiki mandazi ? Russia ashavunjwa vunjwa uwezo wake kitambo Sana Kwa njia ya akili Tu bila kutumia nguvu , Russia ni maskini the same to Iran and north Korea , ....!!! Hii vita wa kuwahurumia ni Raia wa Ukraine , lakini West na US wamenuia hii vita isiishe ili wamuadhibu vikali Russia economically ..na atachapika haswa , hawataki apate kisingizio cha kutanua uwanja wa vita , Ila corridor itakayotumika ni humo humo tu Ukraine , nje watawatangazia hawana mpango wa kupigana na Russia na mtashangilia mkifkri wameufyata Ila kimya kimya wanasuport humohumo Ukraine , vyombo vya habar vitaendelea kuripoti uharibifu unaofanywa na Russia Ukraine na mtashangilia kumbe watu Wana mission nyingine , Japan ndo anajua vizur akili za wazungu zikoje , baada ya mwaka mmoja maraia wa Urusi wataanza kuuza figo ili wajikimu kimaisha ....!!