LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Russia ilitangaza imepeleka wanajeshi 120,000 Ukraine sasa kuuliwa 3,600 ndani ya siku 4 unashangaa?

Mlipuko wa kombora moja waweza kuuwa zaidi ya wanajeshi hata 500 kama wakiwa eneo moja.
Sasa wanajeshi 500 wanakua eneo moja? Umepita hata JKT ya kujitolea wewe? 500 eneo moja? Hao watakua ni mashabiki wa mpira.
 
Makampuni yaliyofunga ofisi zake Russia, assets zote zitakuwa state owned, hivyo wafanyakazi wataendelea kufanya kazi. Kama wamefunga makampuni na viwanda vyao temporarily, the Russian govt is working to make sure that all companies are owned by the Kremlin.
 
We unavyoona wananchi wa Urusi wanaumia kwenye nini?
 
Madem jeshin ni wa sex tu
 
Russia is fulfilling all its obligations to supply energy resources to Europe and other regions of the world - Putin.

 
The United States has closed the import of Russian energy resources and is trying to blame the rise in prices on Russia, but the Russian Federation has absolutely nothing to do with it - Putin.
 
Sasa wanajeshi 500 wanakua eneo moja? Umepita hata JKT ya kujitolea wewe? 500 eneo moja? Hao watakua ni mashabiki wa mpira.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mi kuna jamaa niliwahi mwambia hivyo, yaan askari 100 tu mnakaaje sehemu moja??
 
Prices there [in the US and EU] are rising, but not through our fault. This is the result of their own miscalculations, there is nothing to blame on us.”

Putin on Western countries that blame Russia for rising energy prices:

“They are calling on their citizens to tighten their belts, dress warmly and point to the sanctions they are imposing against us as the reason for their worsening situation. It all looks very strange. Moreover, we fulfill all our obligations.

Once again, I want to emphasize that we are fulfilling all our obligations in the field of energy supply. In full, everything that we have to supply, we supply to our main customers both in Europe and in other regions of the world.”
 
unavozifafanua mdau huend wew ukawa upo pentagon kabisa yaaan.
kam upo nchin haraka upelekwe Sumy ukaokoe jahazi
 
Putin supported the government's idea of introducing external management of foreign enterprises that are leaving the Russian market
 
Hii kama ni tuhuma au si kweli... kwanini Upande wa pili Pentagon hawajitokezi kuikana....

Hizo nyaraka zilizopo kwanini hawasimami kuzikanusha.

Na kwanini vile vile western media hazitoi hizi taarifa.
kama kweli upo seriously na swal lako bas huenda part ya propaganda sijui unaillewaje media ni tools
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…