Bora waelewaneRais wa Ukrain asalimu amri, asema halazimishi tena Ukraine kujiunga NATO. Ni baada ya kichapo cha mbwa koko ambacho Putin anaendelea kukitembeza Ukraine.
Shikamoo Putin!
View attachment 2144117
Pimbi tu Yule.... mwanaume kashesema Kama mbwai mbwai watapigana kila angle kutetea nch yaoNatamani abonyeze kitufe cha nyuklia
Mzalendo,shujaa,muongoza njia...hivi hamjakoma tu alivyowanyoosha?Na Zelensky utamwita nani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nahisi niwakati mzuri sasa wa NATO kuishambulia RUSSIA sababu imekua dhaifu sanaaaNaangalia Al jeezera naona kuna msafara mrefu wa vifaru vya Russia yaani vinalipuliwa sana. Hivi hawa Russia kabla ya kuingia Ukraine haikufanya Planning!!!! Yaani utafikiri walijisemea tu twende Ukraine. Pia ninahisi Kivita na Intelligence ilikuwa kipindi cha USSR tu(KGB) . Russia hii inabebwa tu na Kivuli cha USSR lakini kiuhalisia ni wakawaida tu na walikuwa OVERRATED. Hii vita imewavua nguo.
Hizi silaha zinazolipua vifaru inaweza zikawa zile ATGM alizosema USA na UK wamewapa Ukraine.
Bwana wewe Kisiju umeamua Bora tu ubishe ukweli sio!?Haya basi wale Ni askari wa Idd Amini DadaLete ushahidi kwamba wale walikuwa askari wa kirusi
Jasho limeanza kumvuja mzee babaRussia is not going to close itself from anyone and is ready to work with everyone, Putin said.
View attachment 2145945
Mzalendo,shujaa,muongoza njia...hivi hamjakoma tu alivyowanyoosha
Hivi hujaona alichokisema leo Zelensky,au unajisahaulisha bwana Kisiju?Kuna mazungumzo yanaendelea au umesahau Zelensky ndio aliomba baada ya maji kumfika shingoni.
Tena angepata makalio yako laini na kachumbari ya pilipili na ndizi choma dah angeyafaidi sanaNiliskia alipenda Sana nyama ya makalio mbichi!nilikuwa namuogopa Sana nilivyokua mdogo
Ke unasema mzee baba aisee mmeo anakazi ndo maana upo kwenye nyuzi za vita. Ingekuwa tanks zinauzwa buku buku ungekuwa ushanunuaJasho limeanza kumvuja mzee baba
Nakuelewa!baba yenu kule anatapatapa na nyuklia,wafuasi wake huku mmeacha hoja mnakimbilia matusi,wanajeshi wenu wameacha mitutu wamebeba mafimbo wanateka kuku wa watu....usijali tutawavumilia tu matusi yenu sio nyinyi..Aibu yetu aibu yenuuTena angepata makalio yako laini na kachumbari ya pilipili na ndizi choma dah angeyafaidi sana
Huyu nae atulie Africa tunataka amaniSOUTH AFRICA SIO BENDERA FUATA UPEPO.View attachment 2146200
heheee hongera zao waeleke MOSCOW sasa[emoji41][emoji41][emoji41]Wanaouliza ule msafara mrefu mbona haufiki?.
Issue ni kwamba Ukraine inaanza kuharibu huo msafara na Hadi mwezi unaisha Watakuwa wameshauharibu Hadi Beralus.
View attachment 2145472haa
Tutawavumilia tu!!hamjielewi tena...wafuasi wake silaha mliyobaki nayo Ni matusi mmeacha zile mbwembwe....nasemaje tunaelewa situation yenu mzee baba kawaangusha sanaKe unasema mzee baba aisee mmeo anakazi ndo maana upo kwenye nyuzi za vita. Ingekuwa tanks zinauzwa buku buku ungekuwa ushanunua
mkumbushe tu kwanini kaagiza majeshi yake yaliopo kongo yarejee nyumbaniSasa Ukraine kwanini hawashindi hii vita? Kwanini wanomba msaada? Kwanini wanataka no fly zone? Kwanini hawarudishi nyuma majeshi ya russia? Kwanini wananchi wakimbie? Kwanini walazimishe vijana na wananchi kushika silaha? .
Akili za kuambiwa changanya na zako, mda si mrefu tutaona nani atasarenda.
Kwako wewe amani ni pamoja kukubali kaka yako awe SHOGA?KUPANGIWA VIONGOZI, KUPANGIWA MAISHA NK??Huyu nae atulie Africa tunataka amani
aibu kubwa kweli kweliAibu nchi inajitangaza superpower kuonekana na udhaifu wa kivita kiasi hiki- hadi leo Urusi inadhibiti mji mmoja tu Ukraine.
So shabikii vita mieTutawavumilia tu!!hamjielewi tena...wafuasi wake silaha mliyobaki nayo Ni matusi mmeacha zile mbwembwe....nasemaje tunaelewa situation yenu mzee baba kawaangusha sana